Mdude Chadema amvaa Nape amwambia aache kutisha watu. Kuuza bandari isiwe sababu ya kutisha watu

Mdude Chadema amvaa Nape amwambia aache kutisha watu. Kuuza bandari isiwe sababu ya kutisha watu

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mdude Chadema: Yani mkodishe bandari kwa makataba wa milele halafu mtutishe na juu? Jaribu uone Nape. Utashugulikiwa na huyo SSH unayeamini ndio god-father wako hatakusaidia. Unamtisha nani wewe mwoga wa taifa? Sisi tutaendelea kupambana kuhakikisha bandari zetu zinarudi katika mikono salama.

Mdude.jpg
 
Mdude anaongeaga vitu bila ushahidi japo ni mpambanaji asieogopa (namkubali sana) hata Chama chake huwa hakimpi sapoti juzi Kati alikamatwa mbeya lakini hakuna kiongozi yoyote wa chadema alilaani japo alipambana kivyake akatoka
Ushahidi upi unataka kuuona?
 
Back
Top Bottom