Mdude Chadema: Tukutane kwa Kibaha kwa Mathias Kanisa la ufufuo na uzima. Maombi maalumu kwa waliotekwa.

Mdude Chadema: Tukutane kwa Kibaha kwa Mathias Kanisa la ufufuo na uzima. Maombi maalumu kwa waliotekwa.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
1000034933.jpg
 
siasa bhana tapeli utapelini...🤣
 
Maombi ni nini hasa, ni kwa nini wazungu hawazingatii sana maombi? Wao wanatumia zaidi akili kuliko imani. For them "you understand in order to believe " for Africans " you believe in order to understand ".
 
Ninamjua Mungu siko katika level za kumwamini.
Kama wataomba kwa misingi ya Kibiblia kuanzia aliyetoa order mpaka mgambo mkamataji hawatakuwa salama
 
Waumini mtakaoenda mchukue tahadhari, msije kutekwa hapo hapo kanisani....
 
Wale mawakala wa shetwaini watazui maombi kwa waliotekwa kama walivyozuia maombi kwa Lissu. Safari hii zuieni tena malaika wa kuzimu apite na mwingine kama alivyopita na wale.
 
Wale mawakala wa shetwaini watazui maombi kwa waliotekwa kama walivyozuia maombi kwa Lissu. Safari hii zuieni tena malaika wa kuzimu apite na mwingine kama alivyopita na wale.
Enzi zile Eti hata kumuombea Lissu alipopigwa risasi ilikuwa haramu!!
 
Back
Top Bottom