Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko Nyaishozi KageraHiyo shule hipo mkoa gani na inaitwaje ili Serikali iingie kazini.
Awali lako Zurich! Kwani hizo Halmashauri ni za CDM au ni za hawajawahi CCM! Na wameweja aidha Kwa kuteuliwa au kuchaguliwa. Waulize CCM ndio walipokea za COVID zilienda wapi.Hiyo shule hipo mkoa gani na inaitwaje ili Serikali iingie kazini.
Badala ya kukubali ukweli na kuifanyia uchunguzi wa kina usishangae mtu akakamatwa kuitwa mchochezi! Mbona Waziri mwenye dhamana ya pesa TozoMdude kaniumiza tu kwenye hili[emoji116][emoji116][emoji116]. Madelu nikimkuta mbinguni nahama!
View attachment 2366648
Kama hii picha ni ya ukweli najivua nguo alsikika Lugola bungeni.
Huyo mzazi unayemsema,tambua CHAI aliyoisema Mwigulu,tozo ya mzazi huyohuyo inagharamia,safari za viongozi,mzazi anagharamia,pesa za ziara ya waheshimiwa,mzazi anagharamia kupitia tozo na kodi mbalimbali,leo tena unamwambia shule nzuri,liwe jukumu lake,sasa hizo pesa anazokatwa Kama too,na kuwapatia maafisa mbalimbali wa serikali,anatoa sadaka au?Chai ni jukumu la mzazi
Shule bora ni jukumu la mzazi
Kweli wewe Ni chawa namba mojaChai ni jukumu la mzazi
Shule bora ni jukumu la mzazi
Ni jambo la muda tu huyu atasogezewa mnofu uliyonona.