Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Leo, ilikuwa siku ya kusomwa uamuzi wa kesi ya Habeas Corpus inayomhusu Mdude Mpaluka Nyagali dhidi ya RCO Songwe na wenzake wawili.
Hata hivyo, kutokana na kuingiliana kwa usikilizwaji wa kesi nyingine ya mauaji, maandalizi ya hukumu ya shauri hili hayajakamilika.
Soma zaidi: Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo
Uamuzi sasa utasomwa siku ya Jumatatu, tarehe 2 Desemba 2024, saa tatu kamili asubuhi mbele ya Mheshimiwa Jaji Pomo.
Hata hivyo, kutokana na kuingiliana kwa usikilizwaji wa kesi nyingine ya mauaji, maandalizi ya hukumu ya shauri hili hayajakamilika.
Soma zaidi: Mdude amburuza kortini RPC Songwe, Mwabukusi kumuwakilisha katika kesi hiyo
Uamuzi sasa utasomwa siku ya Jumatatu, tarehe 2 Desemba 2024, saa tatu kamili asubuhi mbele ya Mheshimiwa Jaji Pomo.