Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Una roho mbaya na chuki kali sana dhidi ya wanachama wa chadema. Una kinyongo sana na wapinzani.Safi sanaa.hana adabu wala hajitambui kabisa yule jamaa. Kichwa chake kina matatizo makubwa sana.
Ulishaona na kusoma matusi anayotukana mitandaoni? Ulishasoma udhalilishaji ambao anaufanya kwa wale anatofautiana nao?Una roho mbaya na chuki kali sana dhidi ya wanachama wa chadema. Una kinyongo sana na wapinzani.
Yeah nauona sana. Lakini kwa nini ifike mahali wewe utamani apotezwe mazima? Usiniulize nimejuaje hili.Ulishaona na kusoma matusi anayotukana mitandaoni? Ulishasoma udhalilishaji ambao anaufanya kwa wale anatofautiana nao?
UWT nyie ni makatili haswaSafi sanaa.hana adabu wala hajitambui kabisa yule jamaa. Kichwa chake kina matatizo makubwa sana.
Mbaya zaidi ni mama lakini hana uchungu ni shetani haswa huyu mjingaUna roho mbaya na chuki kali sana dhidi ya wanachama wa chadema. Una kinyongo sana na wapinzani.
Uwe na adabu kwa kaka zako dogo.ukishajifukiza Moshi wako kichwani unaanza dharau hapa.Mbaya zaidi ni mama lakini hana uchungu ni shetani haswa huyu mjinga
Sijasema apotezwe bali afundishwe adabu kisawasawaYeah nauona sana. Lakini kwa nini ifike mahali wewe utamani apotezwe mazima? Usiniulize nimejuaje hili.
TeteteteteteUwe na adabu kwa kaka zako dogo.ukishajifukiza Moshi wako kichwani unaanza dharau hapa.
moyo wa mtu ni kichaka mzee. Naomba tufunge mjadala .Sijasema apotezwe bali afundishwe adabu kisawasawa
Atatoka na kuwachapa spana kama kawaida nyie madhalimuSafi sanaa.hana adabu wala hajitambui kabisa yule jamaa. Kichwa chake kina matatizo makubwa sana.
Mbona wewe unaongelea huku ukiwa umejificha kwenye fake Id?Atatoka na kuwachapa spana kama kawaida nyie madhalimu
You are Lost spermaozoaSafi sanaa.hana adabu wala hajitambui kabisa yule jamaa. Kichwa chake kina matatizo makubwa sana.