Mdude Nyagali: Tutawataka Watanzania walio nje ya nchi kuandamana zilipo balozi za Falme za Kiarabu duniani

Mdude Nyagali: Tutawataka Watanzania walio nje ya nchi kuandamana zilipo balozi za Falme za Kiarabu duniani

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Wakizungumza leo, Agosti 21 baada ya kuripoti kituoni hapo, Mdude amesisitiza kuwa hawatarajii kurudi tena kituoni hapo hadi jeshi hilo litakapokamilisha upelelezi na kesi yao kwenda mahamakani akieleza kuwa wataendelea na shughuli zao ndani na nje ya Mkoa.

“Tumeambiwa kurudi tena Polisi Agosti 28, lakini tumewapa msimamo wetu kuwa haturudi tena hadi kesi itakapokuwa tayari twende mahakamani, pili tumemwambia RCO hana mamlaka ya kutuzuia kusafiri kwani ni kinyume na sheria na katiba,”

“Hili jambo lililotukuta ilikuwa ni njama za kukutisha kuturudisha nyuma, tuko tayari kwa lolote katika kuipigania nchi, tupo kwenye mazungumzo na Dk Wilbroad Slaa kupanga maandamano kuanzia nje ya nchi,”

“Wale diaspora waliopo nje ya nchi wote watafanya maandamano yasiyo na kikomo zilipo Falme za Kiarabu popote wakati tukijiandaa na ya hapa ndani, kama serikali itasitisha mkataba huu wa DP World tutaachana nalo,” amesema Mdude.

Kwa upande wake Mwabukusi amesema tangu kukamatwa hadi kuachiwa ilikuwa ni kinyume na sheria kwani hata mawakili wao hawakuwashirikisha katika suala la dhamana.

“Kwanza nafikiria kushauri wakili wetu aandike barua kujiondoa kwa sababu hakuna kesi yoyote tumepewa, hata dhamana hatukushirikishwa, hata wanaoshauri nihame nchi sikubali, wa kuhama ni wale DP World,” amesema Mwabukusi.

Gazeti la Mwananchi
 
Mdude amesisitiza kuwa hawatarajii kurudi tena kituoni hapo hadi jeshi hilo litakapokamilisha upelelezi na kesi yao kwenda mahamakani akieleza kuwa wataendelea na shughuli zao ndani na nje ya Mkoa.

“Tumeambiwa kurudi tena Polisi Agosti 28, lakini tumewapa msimamo wetu kuwa haturudi tena hadi kesi itakapokuwa tayari twende mahakamani, pili tumemwambia RCO hana mamlaka ya kutuzuia kusafiri kwani ni kinyume na sheria na katiba,”

“Hili jambo lililotukuta ilikuwa ni njama za kukutisha kuturudisha nyuma, tuko tayari kwa lolote katika kuipigania nchi, tupo kwenye mazungumzo na Dk Wilbroad Slaa kupanga maandamano kuanzia nje ya nchi,”

“Wale diaspora waliopo nje ya nchi wote watafanya maandamano yasiyo na kikomo zilipo Falme za Kiarabu popote wakati tukijiandaa na ya hapa ndani, kama serikali itasitisha mkataba huu wa DP World tutaachana nalo,” amesema Mdude.

Kwa upande wake Mwabukusi amesema tangu kukamatwa hadi kuachiwa ilikuwa ni kinyume na sheria kwani hata mawakili wao hawakuwashirikisha katika suala la dhamana.

“Kwanza nafikiria kushauri wakili wetu aandike barua kujiondoa kwa sababu hakuna kesi yoyote tumepewa, hata dhamana hatukushirikishwa, hata wanaoshauri nihame nchi sikubali, wa kuhama ni wale DP World,” amesema Mwabukusi
 
Mdude amesisitiza kuwa hawatarajii kurudi tena kituoni hapo hadi jeshi hilo litakapokamilisha upelelezi na kesi yao kwenda mahamakani akieleza kuwa wataendelea na shughuli zao ndani na nje ya Mkoa.
ua kujiondoa kwa sababu hakuna kesi yoyote tumepewa, hata dhamana hatukushirikishwa, hata wanaoshauri nihame nchi sikubali, wa kuhama ni wale DP World,” amesema Mwabukusi
Kulwa Jilala ulipotea sana. Tulikumisi na hoja zako za kizalendo. Au jamaa walikupiga ban?

Anyway, kazi inaendelea na hiyo miamba Dr Slaa, Mwambukuzi na Mdude wameiongezea mwendo wa mapambano
 
Daaah, nilikuwa na kesi miezi minne naripoti polisi , kila ijumaa lazima kibaruani nifanye nusu siku .
 
Wakizungumza leo, Agosti 21 baada ya kuripoti kituoni hapo, Mdude amesisitiza kuwa hawatarajii kurudi tena kituoni hapo hadi jeshi hilo litakapokamilisha upelelezi na kesi yao kwenda mahamakani akieleza kuwa wataendelea na shughuli zao wa, hata wanaoshauri nihame nchi sikubali, wa kuhama ni wale DP World,” amesema Mwabukusi.

Gazeti la Mwananchi
Revelation 2:6-8,10-11
[6]Lakini unalo neno hili, kwamba wayachukia matendo ya Wanikolai, ambayo na mimi nayachukia.

[7]. Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Ujumbe kwa Smirna

[8]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika; Haya ndiyo aneneyo yeye aliye wa kwanza na wa mwisho, aliyekuwa amekufa, kisha akawa hai.

[10]Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

[11]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili. Ujumbe kwa Pergamo
 
Back
Top Bottom