Mdude Nyagali: Tutawataka Watanzania walio nje ya nchi kuandamana zilipo balozi za Falme za Kiarabu duniani

Mdude Nyagali: Tutawataka Watanzania walio nje ya nchi kuandamana zilipo balozi za Falme za Kiarabu duniani

Hawa majamaa YANA uwezo mzuri wa kushawishi watu Wawe na chuki na BAADA ya kuwapandikiza chuki hizo wananufaika wao binafsi HATARI ni kwamba wakimaliza kuwafitini mahasimu wao kitakachofuata wataanza kufitiana wao kwa wao dhambi ya fitina haijawahi kumuacha mtu salama Bwege na Lema waliwahi kusema mambo haya.
 
Hawa majamaa YANA uwezo mzuri wa kushawishi watu Wawe na chuki na BAADA ya kuwapandikiza chuki hizo wananufaika wao binafsi HATARI ni kwamba wakimaliza kuwafitini mahasimu wao kitakachofuata wataanza kufitiana wao kwa wao dhambi ya fitina haijawahi kumuacha mtu salama Bwege na Lema waliwahi kusema mambo haya.
Bandari inauzwa au haiuzwi?
 
Tangu aingie madarakani safari za uarabuni haziishi
.
IMG_20230820_214004.jpg
 
Wakizungumza leo, Agosti 21 baada ya kuripoti kituoni hapo, Mdude amesisitiza kuwa hawatarajii kurudi tena kituoni hapo hadi jeshi hilo litakapokamilisha upelelezi na kesi yao kwenda mahamakani akieleza kuwa wataendelea na shughuli zao ndani na nje ya Mkoa.


Gazeti la Mwananchi
Yaani mtu MMOJA anyanyuke aende Uarabuni akasaini kwa sababu zake halafu eti watu waandamane!!!
Kwani aliitwa aende Uarabuni??
Si ndo mlisema anafungua inji maana ilikuwa imefungwa!!!
 
Wakizungumza leo, Agosti 21 baada ya kuripoti kituoni hapo, Mdude amesisitiza kuwa hawatarajii kurudi tena kituoni hapo hadi jeshi hilo litakapokamilisha upelelezi na kesi yao kwenda mahamakani akieleza kuwa wataendelea na shughuli zao ndani na nje ya Mkoa.

“Tumeambiwa kurudi tena Polisi Agosti 28, lakini tumewapa msimamo wetu kuwa haturudi tena hadi kesi itakapokuwa tayari twende mahakamani, pili tumemwambia RCO hana mamlaka ya kutuzuia kusafiri kwani ni kinyume na sheria na katiba,”

“Hili jambo lililotukuta ilikuwa ni njama za kukutisha kuturudisha nyuma, tuko tayari kwa lolote katika kuipigania nchi, tupo kwenye mazungumzo na Dk Wilbroad Slaa kupanga maandamano kuanzia nje ya nchi,”

“Wale diaspora waliopo nje ya nchi wote watafanya maandamano yasiyo na kikomo zilipo Falme za Kiarabu popote wakati tukijiandaa na ya hapa ndani, kama serikali itasitisha mkataba huu wa DP World tutaachana nalo,” amesema Mdude.

Kwa upande wake Mwabukusi amesema tangu kukamatwa hadi kuachiwa ilikuwa ni kinyume na sheria kwani hata mawakili wao hawakuwashirikisha katika suala la dhamana.

“Kwanza nafikiria kushauri wakili wetu aandike barua kujiondoa kwa sababu hakuna kesi yoyote tumepewa, hata dhamana hatukushirikishwa, hata wanaoshauri nihame nchi sikubali, wa kuhama ni wale DP World,” amesema Mwabukusi.

Gazeti la Mwananchi
Eltwege amekuwa mshabiki wa Sumu ya Nyigu A.k.a Mdude?
 
Nawashauri hao mapunguani wawaambie na kanisa katoliki liwasaidie kuandamana dunia nzima.

10. Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi. Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema kwao uwongo. 10
 
Wewe uko nyuma ya keyboard yako umetulia tuliii [emoji3][emoji3]
Una uhakika wa asilimia ngapi kama harakati zangu za kudai haki zinaishia nyuma ya hiyo keyboard pekee?

Au unataka kusema unanifahamu zaidi ya mimi mwenyewe ninavyo jifahamu? Au ndiyo tunaishi tu kwa kukariri maisha!
 
Sumu ya Nyigu.
Mdude Nyagali
Alaf kweli atishwe na Nnauye.!

"Nnauye" maana yake "una habari gani"
Nnauye mwejo.
 
Nawashauri hao mapunguani wawaambie na kanisankatoliki liwasaidie kuandamana dunia nzima.

10. Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi. Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema kwao uwongo. 10
Punguani ni wewe ajuza usiyejiheshimu.
 
Paul Makonda ndani ya nyumba
 
Back
Top Bottom