johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiongozi mwandamizi wa Chadema Mh Mdude Nyagali ameshangaa vikosi Vya polisi kujazana Kwenye Mkutano wao Mlimani City
Mdude anasema 2019 shujaa Magufuli aliwaacha Wajichague Kwa Amani na Haki
Ni Ukurasani X ndiko Mdude Nyagali yuko anaomboleza na kulia RIP Magufuli 🌹
Mdude anasema 2019 shujaa Magufuli aliwaacha Wajichague Kwa Amani na Haki
Ni Ukurasani X ndiko Mdude Nyagali yuko anaomboleza na kulia RIP Magufuli 🌹