Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli hakuiua Chadema,yeye alichokiwa hataki ni kupokea pesa kisha unajifanya upinzani,ni kwamba amua moja kuwa CCCM au Chadema,sio mchana upinzani usiku CCM kama wanavyofanya mbowe na zittoMagufuli tena? 😂 muuaji wa CHADEMA
Hawa nasikia huwa wanatembea na mapanga ndani ya koti🐼
Mungu aibarki kauli yakoChadema mnaiuwa Wenyewe Kesho
Kiongozi mwandamizi wa Chadema Mh Mdude Nyagali ameshangaa vikosi Vya polisi kujazana Kwenye Mkutano wao Mlimani City
Mdude anasema 2019 shujaa Magufuli aliwaacha Wajichague Kwa Amani na Haki
Ni Ukurasani X ndiko Mdude Nyagali yuko anaomboleza na kulia RIP Magufuli [emoji257]
Weka picha tuoneMwananyamala Kwa Mama Zakaria usiku huu office za Chadema zinapakwa rangi za bendera ya CHAUMA
Sikujua Watu wako serious aisee😂
Hivi kwa nini zama zenu mlikuwa mnapenda kuishi mwananyamala...😀😀😃Picha ya Mama Zakaria au kinibu cha gongo?🐼
HahahahaaaaKiongozi mwandamizi wa Chadema Mh Mdude Nyagali ameshangaa vikosi Vya polisi kujazana Kwenye Mkutano wao Mlimani City
Mdude anasema 2019 shujaa Magufuli aliwaacha Wajichague Kwa Amani na Haki
Ni Ukurasani X ndiko Mdude Nyagali yuko anaomboleza na kulia RIP Magufuli 🌹
Vijana wa siku wamwchanganyikiwaMagufuli tena? 😂 muuaji wa CHADEMA
🤣 🤣 🤣Wahamie CHAUMA huko hakuna Ulinzi wa Polisi, bali ni ubwabwa tu na mambo yanaenda!
🤣 🤣 🤣Mwananyamala Kwa Mama Zakaria usiku huu office za Chadema zinapakwa rangi za bendera ya CHAUMA
Sikujua Watu wako serious aisee😂
Hii picha ya wanakwaya wa wapi, yaani suti na kofia za sweta!