johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wahamie CHAUMA huko hakuna Ulinzi wa Polisi, bali ni ubwabwa tu na mambo yanaenda!Kiongozi mwandamizi wa Chadema Mh Mdude Nyagali ameshangaa vikosi Vya polisi kujazana Kwenye Mkutano wao Mlimani City
Mdude anasema 2019 shujaa Magufuli aliwaacha Wajichague Kwa Amani na Haki
Ni Ukurasani X ndiko Mdude Nyagali yuko anaomboleza na kulia RIP Magufuli 🌹
Mwananyamala Kwa Mama Zakaria usiku huu office za Chadema zinapakwa rangi za bendera ya CHAUMAWahamie CHAUMA huko hakuna Ulinzi wa Polisi, bali ni ubwabwa tu na mambo yanaenda!
Chadema mnaiuwa Wenyewe KeshoMagufuli tena? 😂 muuaji wa CHADEMA?!
Acha uzishi weka pichaMwananyamala Kwa Mama Zakaria usiku huu office za Chadema zinapakwa rangi za bendera ya CHAUMA
Sikujua Watu wako serious aisee😂
Picha ya Mama Zakaria au kinibu cha gongo?🐼Acha uzishi weka picha
Kama CUF na ACT WAZALENDO! Ahahahahaha!!!Mwananyamala Kwa Mama Zakaria usiku huu office za Chadema zinapakwa rangi za bendera ya CHAUMA
Sikujua Watu wako serious aisee😂
Mule mule 😂😂😂Kama CUF na ACT WAZALENDO! Ahahahahaha!!!
Acha uzishi weka picha
Upinzani hautakufa, hata kama kazi ya CCM na Apparatus ni kuua Vyama.Chadema mnaiuwa Wenyewe Kesho
Chadema mnaiuwa Wenyewe Kesho
Safari njema. Lkn alieweza siasa hizo ni maalim seif. Lissu akishindwa siku 2 huyu Ubelgiji anawaacha solembaMwananyamala Kwa Mama Zakaria usiku huu office za Chadema zinapakwa rangi za bendera ya CHAUMA
Sikujua Watu wako serious aisee😂
Hata maalim Seif alikuwa anaenda Oman Kwa WaarabuSafari njema. Lkn alieweza siasa hizo ni maalim seif. Lissu akishindwa siku 2 huyu Ubelgiji anawaacha solemba