Mdude Nyagali: Uchaguzi wa CHADEMA 2019 enzi za Magufuli Polisi hawakusogelea hata kidogo alituruhusu tufanye Uchaguzi Kwa Haki!

Sasa police wataachaje kujaa kama mnapigana ngumi kuanzia uchaguz wa wazee vijana na wanawake...
Mnataka kesho ktk uchaguz wa uenyekit mbowe akishinda mfanye vurugu...
Nyumbu nyie police wapo na watawashughulikia kwa mkunja ngumi yeyote atakaye jaribu kufanya vurugu
 

Muulize Lema alipoalika vijana waje kufanya fuko alitegemea nini?!
We pata kitambulisho na makabrasha kama ni mjumbe kesho kapige kura.
 
Hahahahaaaa

Bado hamjasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…