Mdude Nyangali arejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Taifa BAVICHA

Mdude Nyangali arejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa Taifa BAVICHA

Mdude uko juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,kama ukipigwa sio sababu ya kuacha kupambana...
 
Siku ambayo mdude anakuwa mwenyekiti chadema wenye akili wote wanajiondoa au kuhama chama.muwe serious na chama nyie CDM hivi mnadhani every tom,dick and harry anaweza kuwa mwenyekiti wa chama ?kama ni kikundi cha wana harakati sawa.mdude huyu ambaye anakosa hata busara ya kujua aandike nini kuwasilisha mawazo mazuri leo mnataka awe mwenyekiti?kuweni serious kidogo.
Kwani kagombea uenyekiti uvccm?
 
Siku ambayo mdude anakuwa mwenyekiti chadema wenye akili wote wanajiondoa au kuhama chama.muwe serious na chama nyie CDM hivi mnadhani every tom,dick and harry anaweza kuwa mwenyekiti wa chama ?kama ni kikundi cha wana harakati sawa.mdude huyu ambaye anakosa hata busara ya kujua aandike nini kuwasilisha mawazo mazuri leo mnataka awe mwenyekiti?kuweni serious kidogo.
Title ya post is very clear...mwenyekiti wa bavicha taifa, mbona mnacomment kinyume na habari yenyewe?
 
Siku ambayo mdude anakuwa mwenyekiti chadema wenye akili wote wanajiondoa au kuhama chama.muwe serious na chama nyie CDM hivi mnadhani every tom,dick and harry anaweza kuwa mwenyekiti wa chama ?kama ni kikundi cha wana harakati sawa.mdude huyu ambaye anakosa hata busara ya kujua aandike nini kuwasilisha mawazo mazuri leo mnataka awe mwenyekiti?kuweni serious kidogo.
Title ya post is very clear...mwenyekiti wa bavicha taifa, mbona mnacomment kinyume na habari yenyewe?
 
Wapiga kura watafanya maamuzi. Kuna vyama vingine ni "marufuku" kabisa kuonyesha nia ya kupambana na Mwenyekiti. Kura huwa zinalazimika kuwa za wazi ili kuwabaini wale "wajeuri" wachache na lengo ni kuhakikisha mwenyekiti anapata 102%
 
Mimi namwonya vipi hiyo mtu?by the way simfahamu na sioni hata sababu za kuhangaika naye. Shida ya cdm wengi ukimkosoa anakuandikisha wewe uliyemkosa ccm.why?inamaana chadema ni kuitikiana tu?hiyo ndo demokrasia?

Huyu unayemtukana hapa ni ofisa wa chama kanda ya Nyasa , kama mlitaka siasa za kistaarabu kwanini Heri James hamumuonyi , Bashiru uchafu anaouropoka kule Zanzibar ndio ustaarabu ule ?
 
Mdude Nyangali hawezi kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Kuna vitengo vinamfaa but si uenyekiti. So kuchukua form ni haki yake kikatiba ila kuwa mwenyekiti ni Busara /hekima inayomkataa.
Amesema uenyekiti BAVICHA nasiio CHADEMA!
 
Picha yako haihusiani na mada yetu
Erthrocyte!

nimeweka picha hizo ili kukazia ujumbe wangu.
picha ya kwanza inaonyesha viongozi waandamizi chadema wakishiriki mazishi ya mbwa wa aliyewahi kuwa mbunge wa arumeru mashariki.

Na ya pili ni ya tundu lissu akipata bierre huko belgium.
woote ni viongozi waandamizi wa CHADEMA mkuu.
 
Siku ambayo mdude anakuwa mwenyekiti chadema wenye akili wote wanajiondoa au kuhama chama.muwe serious na chama nyie CDM hivi mnadhani every tom,dick and harry anaweza kuwa mwenyekiti wa chama ?kama ni kikundi cha wana harakati sawa.mdude huyu ambaye anakosa hata busara ya kujua aandike nini kuwasilisha mawazo mazuri leo mnataka awe mwenyekiti?kuweni serious kidogo.
Ni nafasi ya Mwenyekiti BAVICHA. Siyo Mwenyekiti wa Chama Taifa.
 
United we stand
Divided we fall

Ccm mamalaooo
Chadema babalaooo
 
Mdude Nyangali hawezi kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Kuna vitengo vinamfaa but si uenyekiti. So kuchukua form ni haki yake kikatiba ila kuwa mwenyekiti ni Busara /hekima inayomkataa.
Awamu hii haitaki mwenye busara inatakiwa mwana harakati Wa amsha amsha ndo atakwenda sawa na jiwe.Jiwe na nyundo uendana ili wakagawane vizuri vyumba the hague.Siasa za mbowe zafaa kama awamu za kina jk.Yatakiwa siasa kama za kupambana na makaburu.
Ila busara za Mbowe ndo zimeshikilia amani yetu tuzidi kuombea hili asiingie mwanaharakati atakayepinga kuonewa kwa vitendo.
 
Mimi binafsi nampenda sana Mdude Nyangali kwa uthubutu wake na kutokuwa muoga. Lakini kupewa udereva wa BAVICHA TAIFA hapana. Hicho cheo inataka watu kama alivyokuwa Heche. Mtu makini lakini sio mwoga, mwenye kuchuja maneno ayasemayo.
Kuongoza chama sio kila wakati ni vita tuu Bali kuna wakati wa kuwa soft kidogo na kujadiliana.
Mdude nafasi kuu ya maamuzi bado hajaweza kuruhusiwa kuipewa, labda zingine kama makamu, katibu wa uenezi nk nk ambazo anaweza kudhibitiwa.
Sina namna ya kuwasiliana naye ningeweza kumshauri vinginevyo. Maana watu aina ya Mdude naye akikosa nafasi hiyo anaweza tena kujikuta kageuka sumu kwa chama chake.
Mdude kama utasoma ujumbe huu ACHANA NA UENYEKITI utumikie chama kwa njia zingine.
Mdude Ana hasira na wasiojulikana sawa nyati aliyejeruhiwa kwa risasi hivo atamsaka mwenye risasi alipize.
 
Siku ambayo mdude anakuwa mwenyekiti chadema wenye akili wote wanajiondoa au kuhama chama.muwe serious na chama nyie CDM hivi mnadhani every tom,dick and harry anaweza kuwa mwenyekiti wa chama ?kama ni kikundi cha wana harakati sawa.mdude huyu ambaye anakosa hata busara ya kujua aandike nini kuwasilisha mawazo mazuri leo mnataka awe mwenyekiti?kuweni serious kidogo.
@GuDume nafasi iliyomaanishwa kwamba anagombea Huyo mtajwa ni Uenyekiti Wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) Na si Uenyekiti wa Chama cha CHADEMA.
 
Ivi mdude ndio jina lake halisi??
Tuwe serious kidogo
 
..Mdude siyo muoga.

..hiyo ni sifa nzuri kwani nafasi anayogombea inataka mtu imara.

..huyu kijana akishashinda anatakiwa apewe sekretariat nzuri yenye wasomi weledi watakaomsaidia ktk kupangilia na kuwasilisha hoja zake.

..tatizo kubwa ninaloliona kwa cdm ni kutokuwa na timu ya wataalamu wanaowasaidia viongozi na wabunge wao.

..kwa mfano, Je mwenyekiti Mbowe ana speech writer, na washauri wa masuala ya uchumi, kijamii, na kisiasa?
Ben saanane alikuwa msaidizi wa Mbowe kwenye risala pamoja na mambo ya kiuchumi. Hadi anapotea alikuwa personal assistant wa Mbowe
 
Back
Top Bottom