mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 899
- 1,761
Well said mkuu, Jiwe kashajipambanua kwa maneno yake mwenyewe kwamba yeye n kichaa, inabidi upinzani nao wapate viongozi vichaa zaidi yake ili mtanange uwe sawa, siasa za ustarabu ilikua kipind cha JkKupambana na hii CCM ambayo sasa hivi inaongozwa na Vichaa (kama alivyotamka Mwenyekiti Taifa), kunahitajika watu ambao wanaweza muda fulani kubadilika na kujifanya nao ni vichaa pia.
. Anagombania uenyekiti wa baraza la vijana chadema taifa, na sio uenyekiti wa chadema taifa.Siku ambayo mdude anakuwa mwenyekiti chadema wenye akili wote wanajiondoa au kuhama chama.muwe serious na chama nyie CDM hivi mnadhani every tom,dick and harry anaweza kuwa mwenyekiti wa chama ?kama ni kikundi cha wana harakati sawa.mdude huyu ambaye anakosa hata busara ya kujua aandike nini kuwasilisha mawazo mazuri leo mnataka awe mwenyekiti?kuweni serious kidogo.
Haha ha masai anabweka akiwa tweeterMdude anfit kabisa, Hana ulaini wa yule mmasai
Siku ambayo mdude anakuwa mwenyekiti chadema wenye akili wote wanajiondoa au kuhama chama.muwe serious na chama nyie CDM hivi mnadhani every tom,dick and harry anaweza kuwa mwenyekiti wa chama ?kama ni kikundi cha wana harakati sawa.mdude huyu ambaye anakosa hata busara ya kujua aandike nini kuwasilisha mawazo mazuri leo mnataka awe mwenyekiti?kuweni serious kidogo.
Ben saanane alikuwa msaidizi wa Mbowe kwenye risala pamoja na mambo ya kiuchumi. Hadi anapotea alikuwa personal assistant wa Mbowe
.....Mdude anfit kabisa, Hana ulaini wa yule mmasai
. Mzee Mwanakijiji. Limebaki jina tuMzee Mwanakijiji nakuona online tunaomba maoni yako
M/kiti bavichaMdude Nyangali hawezi kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Kuna vitengo vinamfaa but si uenyekiti. So kuchukua form ni haki yake kikatiba ila kuwa mwenyekiti ni Busara /hekima inayomkataa.
Mdude umerejesha fomu naona unajipigia debe mwenyewe kwa kuanzisha madaView attachment 1276259
Unaambiwa siasa za awamu hii ni zile siasa ngumu kabisa , ni siasa za vitendo zaidi badala ya maneno , ni siasa za jasho na damu .
Wanatakiwa Vijana shupavu wasioogopa kuuawa .
Karibu sana kamanda , Muda wa siasa za kistaarabu umekwishaMdude umerejesha fomu naona unajipigia debe mwenyewe kwa kuanzisha mada
Yule mmasai anashinda kuandika to To-Be-Is-To-Do bila action. Wakati huu si wakati wa uongozi wa matamko bila matendo.Mdude anfit kabisa, Hana ulaini wa yule mmasai
Huyo jamaa ni wa kuchunguzwa kabla ya kumchagua kuwa kiongozi hawezi kutekwa akaachiwa bila masharti ya kutekeleza.Mdude Nyangali hawezi kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Kuna vitengo vinamfaa but si uenyekiti. So kuchukua form ni haki yake kikatiba ila kuwa mwenyekiti ni Busara /hekima inayomkataa.