M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Jun 29, 2021 #21 Pslmp said: Upuuzi mtupu! Kusikiasikia pekee sifa za Mandela, haitoshi kuelewa jinsi alivyokuwa. Kumsikia kwako huko Mandela, ndio unataka kumlinganisha na wavuta bangi wa chadema? Click to expand... Tena AKOME kumlinganisha Mandela na wavuta bangi!!!
Pslmp said: Upuuzi mtupu! Kusikiasikia pekee sifa za Mandela, haitoshi kuelewa jinsi alivyokuwa. Kumsikia kwako huko Mandela, ndio unataka kumlinganisha na wavuta bangi wa chadema? Click to expand... Tena AKOME kumlinganisha Mandela na wavuta bangi!!!
Etwege JF-Expert Member Joined Jul 4, 2018 Posts 7,207 Reaction score 17,674 Jun 29, 2021 #22 Punda wa cocaine za mboe
N nyakubonga JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 5,960 Reaction score 9,978 Jun 29, 2021 #23 Duh hiki chama kimejaa mazumbukuku Unamfananisha Mdude na Mandela kwa kigezo kipi Kama Mdude ni Mandela wa sasa, vipi mwenyekiti wenu Mbowe, mnamfanisha na nani?
Duh hiki chama kimejaa mazumbukuku Unamfananisha Mdude na Mandela kwa kigezo kipi Kama Mdude ni Mandela wa sasa, vipi mwenyekiti wenu Mbowe, mnamfanisha na nani?