Unasema vipi hakuna aliye juu ya sheria, wakati kuna ambao wana kinga ya kutoshtakiwa wakiwa madarakani au wakiwa wametoka? Kibaya zaidi wanaingia madarakani kwa kupora chaguzi.hamna lolote siyo mara ya kwanza kukamatwa, hakuna mtu yuko juu ya sheria au juu ya vyombo vya dola nchi hii, hakuna
kwa mawazo kama hayo ndio maana wenzio wanakamatwaNchi hii wenye akili ni wakristo na ndiyo wanaonekana tishio kwa serikali. Sasa waislam kwa ukilaza wao watakamatwa kwa lipi wakati hata mkataba wanashindwa kuchambua?
Shida yote ipo hapo kwa mwarabu, miaka nenda miaka rudi wazungu walifanya mengi kule shinyanga williamson, arusha, nk nk na mwengine kauziwa pori kabisa hapo mbugani ila hatusikii kelele, so tatizo ni mwarabu na wala si uzalendoTatizo SIO Dini tatizo ni Rais asiyechukua hatua.
Unakopa matrilion ya pesa halafu unajenga miundo mbinu Ili ukusanye pesa matokeo yake unawatafuta Wageni waje kukusanya pesa . Ni akili kweli? Wewe Umaskini kuwa Waarabu watakusanyia pesa Ili upate maendeleo kweli .?
Ujinga Wa Mwafrika ni mzigo mkubwa sana?
Kwa Sheria Gani itajayowazuia Waarabu na marafiki zao walioweka pesa Kwa mgongo Wa DPW wataacha kuchota pesa na kwenda kujenga majumba Yao ya dhahabu Dubai.?
Hivi huoni kuwa tuna Serikali ya Wezi ndio mana hawajiwekei Sheria Kali.
Kwa Sasa mpaka Spika Wa Bunge hashtakiwi ! Kuna watu wenye maamuzi zaidí ya Kumi hawashatakiwi kutoka MTU mmoja !
Sheria za kiislam Kule Uarabu ni Kali Kwa Wala rushwa na Wezi Wa Mali za umma. Je, Tanzania Sheria zinawachukuliaje Wale wanaokomba Mali za umma?
Huku wale wanaowataja Wezi ndio wanaoshughulikiwa halafu utegemee Mwarabu akupe Hela kwenye nchi yenye Sheria za kipumbavu na za kuwabeba mwawziri na wakurugenzi Wezi Badala ya kuwanyongelea mbali?
Mwarabu na MCHINA ni MTU mkorofi Kwa asili yake bila Sheria atatengeneza mpaka pesa za bandia na atawanunua mahakimu Majaji,mapolisi, mawaziri na wabunge na hakuna pesa itakayoongezeka kwenye mapato zaidí ya Kodi na Tozo Kwa Maskini Wa nchi hii.
Wanasafirisha wanyama usiku na mchana kule Loliondo,wanasafirisha Madini Kwa matani kule Geita . Lakini mikopo Imekua Kwa Kasi Tangu Awamu hii iingie madarakani. Je, tunakosaje pesa za kigeni wakati tunasafirisha Madini ya Kila aina?
Watalii wameongezeka tunakosaje pesa za kigeni. Kiufupi hatuna MTU Wa kuwabana Wezi Wa Mali za umma zaidí ya kupambana na akina mdude na Mwabukusi.
Mungu atasimama . Hakuna Chama kitakachokaa milele madarakani. Hata ikiwa ni CCM lakini Roho ya MAGUFULI itainuka na kuwaingia watu WENGI zaidí kuliko Mwabukusi.
Bahati yenu hakuna wapinzani Wa maana zaidí ya wpinzania WASIOJUA wanataka nini?
Waarabu watachota pesa na hakuna kitakachobadilika Kwa sababu hakuna Sheria Kali ya ndani itakayowabana zaidí ya kushirikiana na watanzania kuiba Kwa Kasi mana hakuna atakayeshtakiwa ndani ya nchi au Hata kufilisiwa !! Utawapata vipi watu usipokuwa na mamlaka juu Yao?
Bora Kwa Sasa akija Rais mwenye Uzalendo na uchungu na watanzania Wa Hali ya Chini anaweza akawafukuza kazi Wezi Wote pale bandarini na kuajiri Wengine Hata kufilisi Mali zao ikawa fundisho Kwa Wengine. Lakini Waarabu wakiiba Nani atawakamata ? Nani atazuia pesa Zao ? Nani atamweka Mwarabu ndani ? Nani atamtisha Mwarabu Ili aheshimu visheria vyetu vinavyowabeba Matajiri na kuwashughulikia Maskini ? Wanatorosha wanyama Kule Loliondo Nani amewahi kusikia Mwarabu kakamatwa Kwa kutorosha wanyama?
Lakini Mtanzania akiua Hata digidigi anafungwa miaka Gerezani? Mtanzania akikamatwa na ngozi ya Nyumbu aliyekufa kibudu anashughulikiwa kweli kweli .
Watauza mpaka Mlima Kilimanjaro mana wakati Wa Ukoloni eneo la Mlima Kilimanjaro lilikua linataka kukabidhiwa Wazungu Ili liwe eneo lao la makazi na wachagga walikua wanataka kuhamishiwa huko kigoma na katavi.
Bahati nzuri alitokea MTU mmoja akaona waraka kwenye ofisi za wakaloni akatoa Siri . Wachagga wakagoma kuwa hawatakua tayari kuhamishwa Kwa Treni kwenda Maeneo mengine Ili kupisha Maeneo Yao ya asili yenye rutuba na Maji ya kutosha na Hali ya hewa nzuri. Haya mambo ya wageni kutaka Maeneo mazuri na miradi mizuri ya wazawa hayakuanza leo. Tukiwa na viongozi legelege Iko Siku Hata Bahari Yote ya Hindi itauzwa .
Hao wakristu sii ndio waliofanya makosaIla we huoni wanaokamatwa ni wakritu tu.
Hivo ndio anavo taka huyo mtoa mada kubalansewamekamatwa wakristo wote? Kwanini siyo
kardinaal Pengo
Au Alex Malasusa, Lissu au Mbowe ?
Wanakamatwa ambao wanatimiza wajibu wao kwa njia Hiyo
Niambie ni dini au muislamu gani kafanya alichofanya mdude?
Na kwanini wamkamate Islamic ambaye hajatuhumiwa eti kisa ku balance?
Remmy mwenyewe aliyeimba yuko wapi sasa?Mnamuogopa Mdude lakini hamuogopi kusigina sheria na katiba ya nchi.
Ukiwa mtenda mabaya, wewe mwenyewe hujijui.... aliimba Remmy Ongala
Ifungwe kwa kuongea ukweli ama? Kipindi cha dhalimu aliifunga jf tukahamia Kenya talk na tukamwaga mbungi za hatari.Na kuhatarisha jf kufungwa milele
Cha ajabu hiyo cdm iliyokataliwa dhalimu akaishia kupora uchaguzi ili CCM watangazwe washindi kwa shuruti!CHADEMA tiketi ya udini, ukabila na ukanda haitawasaidia kwenye siasa. Zaidi mnajiengua toka Kila kundi ambalo lingeweza kuwa wanachama au wafuasi wenu.
Kipindi Cha Jakaya mkaporomosha matusi sana kwa watu wa Pwani. Umaarufu wenu ukashuka mikoa ya Pwani!
Kipindi Cha Magufuli mlikashifu sana kanda ya ziwa mkatukana Wasukuma na watu wa Kanda ya Ziwa. Mlikuwa na wafuasi wengi Kanda ya Ziwa lakini sasa wengi wamebaki angani!wamepeperuka!
Sasa hivi mna ponda sana Wazanzibar na waislamu ( mnaita Wavaa kobazi). Sina uhakikia kama mtaaminika kwenye miji yenye waislamu wengi.
Badilikeni.
Kuibua hisia za chuki kikabila,kikanda,kidini ndio turufu yenu bahati mbaya mnalamba garasa
Lawless tiny country with unstable economyEeeeenHeeeeee!
Imenibidi nicheke kwanza.
Hivi unaelewa maana ya "Banana Republic" ni nini?
AiseeSiyo kuundiwa, wamejitakia wenyewe
1. wanataja Tanganyika- hii inavunja nchi ni uhaini
2. wanampa rais siku 14 kufanya watakayo, rais- ni uhaini
3. wanwambiwa watu waoondoe serikali- uhaini
4. wanadharau maamuzi mahakama- uhaini
Sijazungumzia hilo, rejea ujumbe niliouquote. Hata hivyo nafuta kauli tafadhali, sipendelei mambo hayo mimi kwakuwa hayana maanaAlaah, unakiri huu ukatili wa mama yenu kumbe amefundishwa kwenye dini yenu!
Wanadharau mahakama hizihizi ambazo Rostam alisema wanapigiwa simu moja tu. Mahakama hizihizi ambazo wawekezaji hawataki kupeleka mashauri yao?Siyo kuundiwa, wamejitakia wenyewe
1. wanataja Tanganyika- hii inavunja nchi ni uhaini
2. wanampa rais siku 14 kufanya watakayo, rais- ni uhaini
3. wanwambiwa watu waoondoe serikali- uhaini
4. wanadharau maamuzi mahakama- uhaini
Wewe unawataka hao TLS wafanye kitu gani?Yana mwisho haya.
Mbowe kesi ya Ugaidi, Mwabukusi Uhaini.
TLS iko kimya, kuna faida gani ya kuwepo TLS?
Soon watatolewa. Serikali inawaogopa sana wakristo. Ndiyo wenye duniakwa mawazo kama hayo ndio maana wenzio wanakamatwa
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Sio kupindua Nchi Nchi haipinduliwi kinachopinduliwa ni serikali hizo bado ni tuhuma tu za kutaka kupinduwa serikaliWapi amepingua Nchi na lini? Mnabambika watu makesi ya ajabu
Sasa na hao kina mwambukusi ndio wanahojiwa ili kujua ndani yao wako na kina naniWalikuwa na jeshi ndani ya mipango yqo ya mapinduzi.
Ni kwa sababu wao ndio watuhumiwaMajina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu