Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Australia ni nchi nzuri kuliko Uingereza, Wabongo wengi bado hawana connection ya kwenda huko, wasingehangaika na ulaya na Marekani.Na Leo Australia ni nchi nzuri sana ya kuishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Australia ni nchi nzuri kuliko Uingereza, Wabongo wengi bado hawana connection ya kwenda huko, wasingehangaika na ulaya na Marekani.Na Leo Australia ni nchi nzuri sana ya kuishi
Siyo kweli.Nilishawahi kuandika uzi kuhusu ili swala wakafuta. Kuna agenda kubwa dhidi ya wakristo kwenye hii nchi.
Aliekuwa ikulu wakati zinachotwa alikuwa mvaa kobazi nae alichota nyingi zaidi tena kupitia masandalusi!! Umesahau na mkewe nae alikuwa mwizi kupitia NGO yake!Labda majizi mengi yako upande huo
Hatujasahau hela zikivyokuwa zinachotwa bank na kupewa viongozi wa dini ila sio mashehe
Acha watukane ila wanaofaidi zaidi wanajukikana na ndio wanaosoma sana ili wapate wadhifa serikalini na kupiga madili
Weka na list ya escrow na EPA
Tuache chuki za kijinga wanaofanya haya na kuchonga sana wanajulikana
Sasa waislamu wengi si matutusa tu! Kuna wanachoelewa zaidi ya elimu ya madrasa kuita chuo!? Wenyewe chochote ni hewala tu na kujifanya waganga wa majini! Kuna mijitu inayoongoza kukwepa kodi kama mijitu ya kubazi? Angalia yule mfadhili wa timu ya jangwani! Yeye utajiri wake umetokana na dhulma ya kukwepa kodi! Angalia yule kanjibai kubazi yusuph alitimuliwa nchini kwa utapeli wa kutokulipa kodi na utapeli wa mali za umma!we hujui rais akiwa muislam wakristo wanavyosumbuaga? wadini sana hao wajamaa, mi mkristo lakini sipendi maubaguzi ya kijinga. Mbona wenzetu rais akiwa mkristo hawasumbui, hawafanyi vioja? Wakati wa Magufuli ni muislam gani alikuwa anaeneza maujinga km hao wajamaa. Kwanza ni wanafki hata huo ukristo wenyewe ni wa maslahi tu, wengi wao ni washirikina tu wala hawamtegemei wala kumcha Mungu. Issue ya bandari inaiumiza sana kichwa kanisa wamezoea magendo, huwa hawalipiagi bandarini. Ni wezi wa kodi za serikali, Mama Samia kazi iendee hao ni majambazi tu tumeshayatambua. Wamejaa ubaguzi, chuki, uzushi, uwongo, upotoshaji, uchochezi na uhaini. Washughulikiwe ipasavyo hakuna ukristo hapo.
Umeeleza ila elimu kwao watakwambia wanaoneewaSasa waislamu wengi si matutusa tu! Kuna wanachoelewa zaidi ya elimu ya madrasa kuita chuo!? Wenyewe chochote ni hewala tu na kujifanya waganga wa majini! Kuna mijitu inayoongoza kukwepa kodi kama mijitu ya kubazi? Angalia yule mfadhili wa timu ya jangwani! Yeye utajiri wake umetokana na dhulma ya kukwepa kodi! Angalia yule kanjibai kubazi yusuph alitimuliwa nchini kwa utapeli wa kutokulipa kodi na utapeli wa mali za umma!
Watu wanajiuliza maana walipokosolewa wao walisema ni udini dhidi ya waislam. Je ni dhidi ya nani sasa hivi?Uchochezi huo
KimeumanaKwani ulikuwa wapi yule Sheikh aliyetishia kuwasomea kunuti waislamu watakaohudhuria mkutano wa Chadema Temeke?
Duuh na yeye?Kwani kuna Muislam gani prominent aliyeupinga mkataba!? Jiulize kwanza.
Hata Pengo anasakwa kwa taarifa tu.
Walihojiwa kuhusu bandari wakasema aah mnahoji dini ya kiislam sasa watu waoa wanakamatwa na wao wanauliza mbona ni wakristo tu?Mmeanza kuingiza mambo ya udini
Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Utapiamlo mwingine huuMajina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
CCM wanapambana na wakati, wakati huamua hatima yoyote ile... fate ipo kwenye muda na muda haudanganyi... 2023 siyo 1983. makosa wanafanya watawala na bado wanataka muda uwachekee NEVER. This regime will be fated to end badly.![]()
Mungu ataamua ugomvi soon 🙏😭🤣😂.Wamelikanyaga kumkamata Slaa!!!
Hii ni maajabu sanaMbona Kenya maandamano sio uhaini, mtu akisema kesho ntaplani nikuibie ng'ombe wako,atakua kakuibia tayari? Na mahakamani atahukumiwa kakwibia ng'ombe wako kwa kauli ile??
Nyerere alisema kaburu ni kaburu tu hata kama ni Mweusi sio lazima awe mzungu bali matendo yake.Kaburu huwa kaburi pale anapokuwa madarakani.
Elewa hilo ndugu mdekezwa
Kwa kuwa tu amesema kweli?We sio mkristo and indeed you are not one.
Tatizo SIO Dini tatizo ni Rais asiyechukua hatua.we hujui rais akiwa muislam wakristo wanavyosumbuaga? wadini sana hao wajamaa, mi mkristo lakini sipendi maubaguzi ya kijinga. Mbona wenzetu rais akiwa mkristo hawasumbui, hawafanyi vioja? Wakati wa Magufuli ni muislam gani alikuwa anaeneza maujinga km hao wajamaa. Kwanza ni wanafki hata huo ukristo wenyewe ni wa maslahi tu, wengi wao ni washirikina tu wala hawamtegemei wala kumcha Mungu. Issue ya bandari inaiumiza sana kichwa kanisa wamezoea magendo, huwa hawalipiagi bandarini. Ni wezi wa kodi za serikali, Mama Samia kazi iendee hao ni majambazi tu tumeshayatambua. Wamejaa ubaguzi, chuki, uzushi, uwongo, upotoshaji, uchochezi na uhaini. Washughulikiwe ipasavyo hakuna ukristo hapo.