Mdude: Tutafanyia kongamano kituo cha polisi

Mdude: Tutafanyia kongamano kituo cha polisi

Pale ubalozi wa marekani kuna ukumbi pia mkubwa tu

Hapo ni nchi nyingine Mkuu. Au wewe hulijui hilo?

Kulikoni kwenda kufanyika mkutano Ghana au Afghanistan?
 
Kwani hiki ni chama gani kinachotishia uhai wa chadema!

Siyo chama Mkuu. Ni harakati za wananchi tu na hata Chadema humo wamo. Wala hawana taabu na chama bali wenye vyao wanawataka makwapani mwao. Labda kuwa wao ni masultani.

Hiiiiiii baghosha?
 
Mkuu mimi kwa sasa nina furaha sana , tokana na jumbe Mungu wangu amenipa , hako ni ka kipande tu kati ya jumbe nilizopewa , wafanyakazi wangu mpaka wananishangaa, life la furaha nililonalo mpaka , ila hawajui, nami nasema Mungu wangu hajawahi niambia na kinyume kile ni makusudi yake ,kwangu binfsi , na yale nimekosa majibu,
 
Mkuu mimi kwa sasa nina furaha sana , tokana na jumbe Mungu wangu amenipa , hako ni ka kipande tu kati ya jumbe nilizopewa , wafanyakazi wangu mpaka wananishangaa, life la furaha nililonalo mpaka , ila hawajui, nami nasema Mungu wangu hajawahi niambia na kinyume kile ni makusudi yake ,kwangu binfsi , na yale nimekosa majibu,

Mliotokea kwenye kasherehe hako Lumumba nyote mnasema hivyo hivyo. Kwa hakika tunawaelewa kabisa.

Tunao washamba huku wako radhi katiba mpya isije kama si wao walio vinara, hali ubavu wa kuyaitisha maandamano hawana.

Siyo kazi hapo?
 
Wakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.

View attachment 2771375

Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?

Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?

Beberu anao ujumbe murua kwenu:

"Shame on you!"

Tatizo la upinzani shida ndio hiyo. Kitu kidogo mnataka kuanza kugombana na kuipa Faida CCM. Wafanyabiashara wamekataa kuwapa ukumbi, lakini lawama zako unahamishia upinzani. Unakumbuka Slaa alipokuwa anaishambulia CHADEMA au mwabukusi alivyoishambulia upinzani juzi?. Ondooeni unafiki.
 
Wangekwenda kufanya Kongamano hilo kwenye Hotel ya Sugu huko Mbeya.Sugu ni mzalendo mwenzetu.
 
Mkutano umefikia wapi wandugu?

Wengi tunasubiri mrejesho. 7 October baada ya tamko tuulizane maandamano yatapokuwa yamefikia. Tutakujuza hata kama utakuwa Lumumba.
 
Tunaoona tumeshaona kuwa hili jambo mlishapishana sana na sasa mnatafuta sababu ya kuhalalisha Azimio la kughairi.
 
Tunaoona tumeshaona kuwa hili jambo mlishapishana sana na sasa mnatafuta sababu ya kuhalalisha Azimio la kughairi.

Mnataka - kiambishi "m" ukimaanisha kina nani na wewe ukiwa nani.

Bila maelezo mengine zaidi hapo tunadhani wewe ni polisi na unao waadress hapo bila shaka ni wananchi.

Ufanufanuzi wako tafadhali.
 
Ccm pambana na hali yenu , Mengine hayawahusu by ,the way Nawamegea kipande kiduchu tu kwamba , Mungu anasema ,na anasisitiza kwamba

Kwa kuwa yeye alisha wafuteni katika kiti cha utawala , na kwa kuwa mmezidisha mara dufu kibri, haitakua jipya chini ya jua kukufutilieni mbali hata kabla ya 2025, Bwana ananena kwa uchungu mkuu,

Ukikubali sawa ,ukikataa sawa , patelea mbali , nakupeni kitu jinsi kilivyo na Tunzeni hii
Mungu ?!!! [emoji23][emoji1787][emoji1787]

Acha DELUSION komredi ha ha ha

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mnataka - kiambishi "m" ukimaanisha kina nani na wewe ukiwa nani.

Bila maelezo mengine zaidi hapo tunadhani wewe ni polisi na unao waadress hapo bila shaka ni wananchi.

Ufanufanuzi wako tafadhali.
Wanaotafuta ukumbi
 
Back
Top Bottom