4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mkwenye mambo serious na Mungu wangu huwa spendi utani, mie sio nabii ,mchungaji ,au mwalim , pitia post zangu kipindi cha mwendazake ,anzia 19 kuja 20 utajua nilisha sema hili hapa jfMliotokea kwenye kasherehe hako Lumumba nyote mnasema hivyo hivyo. Kwa hakika tunawaelewa kabisa.
Tunao washamba huku wako radhi katiba mpya isije kama si wao walio vinara, hali ubavu wa kuyaitisha maandamano hawana.
Siyo kazi hapo?
Mkwenye mambo serious na Mungu wangu huwa spendi utani, mie sio nabii ,mchungaji ,au mwalim , pitia post zangu kipindi cha mwendazake ,anzia 19 kuja 20 utajua nilisha sema hili hapa jf
Kipara bila akili nisawa takoKwani hiki ni chama gani kinachotishia uhai wa chadema!
Hehee.....kila kumbi inarejesha pesaWakikabiliwa na mashinikizo yenye kufanana kutokea kwa walamba asali na vibaraka zao, lile kongamano la kina Mwabukusi linazidi kutumbukiziwa nyongo.
View attachment 2771375
Hakuna ukumbi unaopatikana kufanyia shghuli hii. Kwamba heri kwenda kufanyia kongamano hili polisi kwa sababu vyama vya upinzani vimewakomalia?
Kwamba kwa vile ruzuku au ubunge si vipaumbele vyetu pana baina yetu tumeapa kupambana na kina Slaa, Mwabukusi, Mdude na wenzao hadi wa wakwame tu?
Beberu anao ujumbe murua kwenu:
"Shame on you!"
Tako linakuweka mjini!Kipara bila akili nisawa tako
Una chochote kitu...!?Mwenye contact za Mdude, Mwabukusi au Dr Slaa ani pm
Ujinga mtupu watu na akili zao na uzoefu wao kuwa mateka wa akili za Mdude_NyagaliMkuu Ile haukuwa wito was kufanyia mkutano polisi. Slaa, Mwabukusi, Madeleka na wabobezi wengi ni far too smart kuto kuliona hili.
Itakuwa jemedali Mdude alimaanisha hata kama ni selo kongamano litaendelea.
Nilikwishakuambia kuwa hao sisimizi wako hawawezi kufanya lolote nchi hii!! Kama bado umawamini basi kajichunguze ubongo wako hospitaliniCCM na wapinzani uchwara Huwa na jambo moja tu in common: "maokoto."
Ujinga mtupu watu na akili zao na uzoefu wao kuwa mateka wa akili za Mdude_Nyagali
Hiyo ni desperation ya highest order
Nilikwishakuambia kuwa hao sisimizi wako hawawezi kufanya lolote nchi hii!! Kama bado umawamini basi kajichunguze ubongo wako hospitalini
View attachment 2772572
Karibuni Kahawa, makolo yanasemaje?
Kipara bila akiri ni tako tuuTako linakuweka mjini!
Gusa unuke sasa !! DaaaadadekiKwani kufanya lolote ni nini? Au hata umewauliza wenzio hawa hapa kukupa mrejesho:
Polisi Moro na mazoezi ya kufa mtu, ni yale Maandamano yetu?
Ya kuwa kumbe hapo ilikuwa je?
Huyo Kipara ni mjane wa Mwendazake muoneeni huruma mwenzake Jokate kapozwa huko UWT.Kipara bila akiri ni tako tuu