Mdude: Tutafanyia kongamano kituo cha polisi

Mdude: Tutafanyia kongamano kituo cha polisi

Huyo Kipara ni mjane wa Mwendazake muoneeni huruma mwenzake Jokate kapozwa huko UWT.
Mkuu walizingua sana kipindi cha uhai wa marehemu Jiwe... Mazombie haya
1.Kipara
2.Lizbon
3.Cocochanel n.k
kwasasa kuna
Lucas Mwasambandwa na hawara yake kikongwe Faizafoxy n.k hawa mafisiem shidaa
 
Mkuu walizingua sana kipindi cha uhai wa marehemu Jiwe... Mazombie haya
1.Kipara
2.Lizbon
3.Cocochanel n.k
kwasasa kuna
Lucas Mwasambandwa na hawara yake kikongwe Faizafoxy n.k hawa mafisiem shidaa
Bila kuwasahau Bia yetu na Alumni waliokuwa wakishauri Mwendazake aue Viongozi wote wa CHADEMA.
 
Mkuu walizingua sana kipindi cha uhai wa marehemu Jiwe... Mazombie haya
1.Kipara
2.Lizbon
3.Cocochanel n.k
kwasasa kuna
Lucas Mwasambandwa na hawara yake kikongwe Faizafoxy n.k hawa mafisiem shidaa

Ongezea hapo Stuxnet
 
Waona tulikofikia? Kuwa hata Stuxnet naye ni shabiki upande wa CDM leo kwamba pamoja nao kwa ajenda ipi?
Sina upande wowote iwe CCM wakikoroga napiga, iwe CDM wakiharibu nawananga. Umenikosea kwa vile umekariri
 
Kwanini kituo? Si waaende makao makuu ya polisi wakafanyie mikutano yao huko?
 
Na hicho kibali cha kukusanyika kituo cha polisi watakipata wapi ?!!!![emoji15][emoji1787]

Mdude is "hopeless".....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huangalii juhudi alizofanya zikakwamishwa.

Hujiulizi kwani kakosea wapi mpaka anyimwe ukumbi na dola.

Hayo yote huyaoni na huthamini juhudi zake. Ila jicho lako linaona u hopeless wake !!! Kweli wewe ni ibilisi.
 
Back
Top Bottom