johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naomba kujua historia ya huyu bwana mdogo kwa anayeijua.
Anajiamini na ana misimamo mikali kama muasisi wa CHADEMA hayati Tuntemeke Sanga.
Hata Sugu kabla hajachakachuliwa alikuwa na misimamo mikali sana hasa alipoporwa mradi wa vyandarua😀😀.
Anajiamini na ana misimamo mikali kama muasisi wa CHADEMA hayati Tuntemeke Sanga.
Hata Sugu kabla hajachakachuliwa alikuwa na misimamo mikali sana hasa alipoporwa mradi wa vyandarua😀😀.