Mdude wa CHADEMA ni nani hasa?

Ule ni ujinga sio msimamo mkali, kama Mbowe mwenye chama kashalainika sembuse huyu panya.
 
Kwangu mimi Mdude nyalali ni kama kina mbowe 10 hivi au kina zito 22.

Ni kama kina lisu 8 hivi harafu jumlisha wote hao utapata MDUDE NYALALI Mwamba furani nanusu.

Namfananisha na mwamba furani CHACHA WANGWE Au DEO FILIKUNJOMBE.

Hilo la Tumtemeke kuasisi Chadema labda tawi la Ikonda
 
Ni kama chanjila au Wema sepenga wa siasa

Mudomozzzzzz but no impact
 
Waulize Wazee wako hapo Ufipa st kwa Makani watakupa orodha ya Wassisi 6 wa Chadema

Vikao vyote vilifanyika Motel Agip kwa Tuntemeke Sanga Mkinga na nusu!
 
Wewe hangaika na historia ya watu wenu wa CCM. Achana na sisi.
 
Ule ni ujinga sio msimamo mkali, kama Mbowe mwenye chama kashalainika sembuse huyu panya.
Kwani Mbowe ndio ana hati miliki ya msimamo wa Mdude? Mdude hahitaji chama chochote kuonyesha msimamo wake.
 
Ni Steve Biko wa Tanzania
 
Waulize Wazee wako hapo Ufipa st kwa Makani watakupa orodha ya Wassisi 6 wa Chadema

Vikao vyote vilifanyika Motel Agip kwa Tuntemeke Sanga Mkinga na nusu!
Hakuwepo mkuu. Mimi ni mwana jf mkongwe kuna wakati iliwekwa humu paper ya mahudhulio ya kikao cha kwanza walikuwa ni wachaga watupu wanafamilia ya mzee mtei na Aikaeli na walikutana moshi. Harafu tabia ya kunihusisha na manyumbu ya ufipa ikome mchawi wewe
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Wachagga walikuwa wawili tu halafu Msukuma, Mkinga, Mnyakyusa na Muhaya!

Au Nikupe majina dogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ