Me & daughter in fb

Mkubwa achana nao hao watu wasikuumize kichwa..Usidhani kwamba wale wote wanaokuwa marafiki facebook ni ndugu...inabidi ufahamu labda mtu anaweza kuona page yako akaamua kukuadd tu hata kama hakujui kwa hiyo kuhusu hizo comment zifumbie macho tu...ila wewe kama mwanaume kwa vile umeshagundua tayari kwamba yupo facebook then cha kufanya ni jaribu kumfatilia take ur time hata kama miezi 3 hadi 5 najuwa utakuwa umeshajuwa kama mke wako anauhusiano na mtu humu au laah!

wala usipaniki ni vitu vya kawaida kabisa!!
 
acha kupanick ndugu. Unawezakuta hakuna hata baya moja linaloendelea, watu wanaocomment acha wacoment. mkeo mzuri na mwanao pia siyo mbaya kusifia uumbaji wa Mungu. Kuhusu majibu ya wife hakyanani hata ningekuwa mimi ukionyesha mashaka kwamba mwana si wako lazima nikuwakie, ni utovu wa nidhamu on your part, bora ungefanya dna kimyakimya lakini siyo kusema hadharani on her face, na kama ni wako je kiukweli je/ Btw kwani una sura mbaya sana? just curious.
 

curiosity killed the cat....
 
ooooooooooooops pole sana .nadhani my wife wako anajua issue nzima kaa chini nae muongee kwa utaratibu na akwambie ukweli wa mambo ulivyo,naona anajua sana mambo ya mtandao ingawa anabisha tu
 

This isn't a FAIR question carmel...........!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…