Me mgeni

Mguu upi wenye kamba wa kushoto au Kulia?
Ila karibu sana JF mkuu.
 
Angalia tu usimquote mtu utaambiwa siyo mgeni ila umefungua ID mpya

Karibu sana humu ndani mahali ambapo panapatikana watu werevu
 
Ndo hvo mkuu na mim nioshe nimepanda ndege me ntakaa siku mbili sio mwezi..alafu ntakua na nguo zangu[emoji3][emoji3]
Ahahahaha. Nakupa complement ya miezi 6 na nguo zangu za uturuki tutavaa wote.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ahahahaha. Nakupa complement ya miezi 6 na nguo zangu za uturuki tutavaa wote.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Weee ntakuharibia nguo zako za uturuki unianzishie uzi akhaaa[emoji23][emoji23][emoji23]nina bwanga zangu za crokon zinantosha
 
Weee ntakuharibia nguo zako za uturuki unianzishie uzi akhaaa[emoji23][emoji23][emoji23]nina bwanga zangu za crokon zinantosha
Ahaha. Mbona una hofu. Sianzishi uzi bana. Saiv mambo yanafanyika with integrity and privacy
 
Ndo hvo mkuu na mim nioshe nimepanda ndege me ntakaa siku mbili sio mwezi..alafu ntakua na nguo zangu[emoji3][emoji3]
utasemwa unalala sana na kukoroma
 
Ahaha. Mbona una hofu. Sianzishi uzi bana. Saiv mambo yanafanyika with integrity and privacy
Hiyo privacy ulishindwa kwa yule bidada kwangu member wa jf ndo utaweza

Tena ukileta uzi unasema ni member humu watu wanakua interested kujua ni nani, pm zinakua nyingi unawadokeza ni flan me nakua busy kukoment kumbe nachorwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…