Me mgeni

Me mgeni

Aaaaaah jamanInna una wasiwasi sanaaa. Maisha hayapo JF tu. Thou JF ni sehemu kubwa ya naisha yangu kwa siku nyingi sana. Sijawai muanika mtu lather than huyu wa juzi.

Pia nime filter. Hata akisoma uzi wangu hawezi jijua kuwa ni yy.

Hivyo basi nakuhakikishia usalama
Usijali rafiki natania tu apa...naamin kwa koment zile ulishajirekebisha
 
Back
Top Bottom