Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
nilikuonya nilifikiri ungestuka ufanye editing, imekula kwako muzeee hahaha
Usijali rafiki natania tu apa...naamin kwa koment zile ulishajirekebishaAaaaaah jamanInna una wasiwasi sanaaa. Maisha hayapo JF tu. Thou JF ni sehemu kubwa ya naisha yangu kwa siku nyingi sana. Sijawai muanika mtu lather than huyu wa juzi.
Pia nime filter. Hata akisoma uzi wangu hawezi jijua kuwa ni yy.
Hivyo basi nakuhakikishia usalama
Nimekosa mke JF kwa hiliMweeee sio hio tu ntasemwa kwa mengi bado anakula hovyo kanharibia budget
isije kuwa umeweka kikuku alafu unatuambia ni kamba
Ngoja nkakupige chabo[emoji3][emoji3]Hahaha taratibu chief
SawaNitajie ID yake huku chamber
Usijali rafiki natania tu apa...naamin kwa koment zile ulishajirekebisha
Sawa
[emoji3][emoji3][emoji3]hujakosa ule uzi tuliona wachache .[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nimekosa mke JF kwa hili
Hmm Acha umbea, kuna herufi zinakosekana hapo shauri yakoNgoja nkakupige chabo[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3]hujakosa ule uzi tuliona wachache .
[emoji23][emoji23][emoji23]ntajua namna ya kufixHmm Acha umbea, kuna herufi zinakosekana hapo shauri yako
Hahaaa omba mods waufute waambie samahani nilidhalilisha dada wa watu naomben mnifutie nisije kosa mkeAaaah wapiii. Siku mtu akitaka achunguze thrad zangu lazima pale anitoe point 3[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hahaaa omba mods waufute waambie samahani nilidhalilisha dada wa watu naomben mnifutie nisije kosa mke
Acha tuuuu. Mke ntapata tuuu
Ntachelewa sana na najua hilo. Maana mm ni selective sana. Ila kuna mda huwa nabanwa hapo ndo najitoaga ufahamu naana kufukua makaburiUtapata ndio omba Mungu akupe wa kufanana na ww..usitegemee wa huku mitandaon
Na wewe hashindwi ulivo kua king'ang'anizi mumeo atapata tabu saanaa[emoji23][emoji23][emoji23]ntajua namna ya kufix
Huu ni ubishoo ujue [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahaha taratibu chief