Me sio mtabiri lakini humu ndani kuna watu walikutana msibani ni vile tu ni siri yao

Me sio mtabiri lakini humu ndani kuna watu walikutana msibani ni vile tu ni siri yao

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Mara nyingi katika mazingira fulani ambayo hatukutarajia na kwa namna isiyoeleweka kabisa ndipo tunakutana na watu wetu sahihi wakati mwingine hata tukiulizwa tulikutana wapi au tulifahamiana wapi inatubidi kusema uongo kwasababu mazingira na namna ile tulivyokutana watu watatushanga'aa sana😀

Namna tulivyokutana au wapi tuliponana na tukaanzisha mahusiano wakati mwingine hutulazimu iwe siri yetu tu si ya kusema kwa kila mtu na wakati mwingine tunawadanganya tu tulipofahamiana au kuonana ili tusieleweke hivyo ila kiuhalisia yawezekana sisi tulikitana mtandaoni yaani fb,Jf, kwenye magroup, bar nk

Yawezekana hata wewe mtu wako uliyenaye mlikutana kwenye mazingira ambayo hakika haukutarajia na hukuwaza ila leo ndi mkeo au mumeo hata kama hamjaoana ila mnapendana sana na mnafurahia mahusiano yenu vizuri tu.
 
Hayo mawazo yako ya kipumbavu watu wako kwenye msiba wewe unawaza kumtongoza mtu ni ufala mke au mume unaweza kukutana naye hata barabarani ndio nyie watu mnaocheka msibani wengine wanahudhuni stupid unakuta jitu linacheka msibani au mwanamke mjinga hahahaha
 
Hayo mawazo yako ya kipumbavu watu wako kwenye msiba wewe unawaza kumtongoza mtu ni ufala mke au mume unaweza kukutana naye hata barabarani ndio nyie watu mnaocheka msibani wengine wanahudhuni stupid unakuta jitu linacheka msibani au mwanamke mjinga hahahaha
Mbona makasiriko 🤷🏽‍♂️😂😂🏃🏽‍♂️
 
Hayo mawazo yako ya kipumbavu watu wako kwenye msiba wewe unawaza kumtongoza mtu ni ufala mke au mume unaweza kukutana naye hata barabarani ndio nyie watu mnaocheka msibani wengine wanahudhuni stupid unakuta jitu linacheka msibani au mwanamke mjinga hahahaha
Kwani msiba ni nini hadi uwake hivi?
Si kwamba mtu kafa tu, sasa yeye akifa maisha yanasimama?
 
Back
Top Bottom