Hahaha kiaz wewePia usiweke tinted kwenye vioo vya mbele ili ku allow maximum visibility... Majirani waweze kukuona kuwa umenunua chombo mpya.
TRA WATAKUDAI KIASI GANI KWA HII GARI YA 2003?Gari yenyewe ndo hiyo.
aaandae kama 11m kama ushuru inaweza kushuka au kupanda kulingana na dollarTRA WATAKUDAI KIASI GANI KWA HII GARI YA 2003?
ASANTE MKUUaaandae kama 11m kama ushuru inaweza kushuka au kupanda kulingana na dollar
ASANTE MKUU
kwa hii gari tra watanichaji kiasi gani mkuu?Itabidi arekebishe hiyo invoice ama sivyo watamlamba kama invoice inavyosoma. Bei ya tra ni usd 2360 wakati yake ni usd 2750.00
kwa hii gari tra watanichaji kiasi gani mkuu?
CFJ0093587
Location
Japan
VIN / Chassis No.*
S402U-0001***
Mileage
150,204 km
Model Code
ABF-S402U
Engine
1,500 cc
Registration
2008/Aug
Toyota Liteace Truck 2008
Arrival Port
Dar Es Salaam (Port)
cif =US$6,997
Mombasa (Port)
US$6,957
Hii nchi hii!!!! Nchi ya wagalathia, Sijui ni wakina nani wanaopanga sheria za kodi... Hakuna hata washauriaaandae kama 11m kama ushuru inaweza kushuka au kupanda kulingana na dollar
Okey kwa hiyo niiacha hivo ushuru utakuwa juu zaid ya kwenye web ya tra...Itabidi arekebishe hiyo invoice ama sivyo watamlamba kama invoice inavyosoma. Bei ya tra ni usd 2360 wakati yake ni usd 2750.00
Hahaha kodi 100%Hii nchi hii!!!! Nchi ya wagalathia, Sijui ni wakina nani wanaopanga sheria za kodi... Hakuna hata washauri
Bahati mbaya maonyesho sipend tinted mpaka mbele lazima.Pia usiweke tinted kwenye vioo vya mbele ili ku allow maximum visibility... Majirani waweze kukuona kuwa umenunua chombo mpya.
Usijal ndugu lift lazima..Kitu tamu sana hiyo mkuu....ikishakuja cku moja moja ukinikuta barabarani usininyime lift
Nilvo angalia kweny web n kama milTRA WATAKUDAI KIASI GANI KWA HII GARI YA 2003?