Mean While; Tanzania is Testing the SGR

The answer iko kwa picha. In the picture there is your padlock (Makufuli), Dan Kazangu(Ambassador ) and the KCB officials. You can relate what is happening.
Jibu swali, the relationship btn embassy and the commercial bank.
 
The answer iko kwa picha. In the picture there is your padlock (Makufuli), Dan Kazangu(Ambassador ) and the KCB officials. You can relate what is happening.

Aha haaa
Itakuwa Dan aliombwa awasindikize ili apige picha na kunywa chai na magufuli ikulu.
 
Jombaa amsamehe huyo jamaa ni kilaza wa kupindukia

Alikaa darasani miaka 2 kwa ajili ya kujifunza kiingereza,huyo jamaa si mtu wa kawaida
 
Jombaa amsamehe huyo jamaa ni kilaza wa kupindukia

Alikaa darasani miaka 2 kwa ajili ya kujifunza kiingereza,huyo jamaa si mtu wa kawaida
Kama wewe ulikaa darasani for 2yrs then I pity you, I have been in classrooms for more than 20yrs and I'm now doing my second degree on Biotechnology.
 
Did they say they wrote off Tz debts bcoz we failed to pay
 
Unamuuliza wali anajibu ugali.
Zile fedha za rambirambi mm nimemuuliza lini kenya ilitoa msaada wa kifedha kwa Tz kuendesha mradi yeye hanijibu.
Nishaanza kupatwa mashaka na wakenya
Jombaa amsamehe huyo jamaa ni kilaza wa kupindukia

Alikaa darasani miaka 2 kwa ajili ya kujifunza kiingereza,huyo jamaa si mtu wa kawaida
 
USA debt to GDP ratio is 102% and they are still yearning for more loans. Kitu hujue is that maskini haezipewa loan mingi, what he can be given are only grants and donations the way Kenya did to Tanzania.
china imewanyima ksh 400bln kwanini???

mbona swali ni clear bro[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Unamuuliza wali anajibu ugali.
Zile fedha za rambirambi mm nimemuuliza lini kenya ilitoa msaada wa kifedha kwa Tz kuendesha mradi yeye hanijibu.
Nishaanza kupatwa mashaka na wakenya
hawa wana akili za mbuzi wazoee tu.
 
Prove that China ilinyima Kenya loan na pia hiyo loan ilikuwa ya kufanya nini.

Ahaa haa
unajisahaulisha hapa, hukumbuki alivyoenda na Raila, akaambulia dili la maparachichi. By the way, dili la maparachichi limefikia wapi?
 
Ahaa haa
unajisahaulisha hapa, hukumbuki alivyoenda na Raila, akaambulia dili la maparachichi. By the way, dili la maparachichi limefikia wapi?
Kama ni deal ya SGR to Kisumu then you are in for a rude shock coz China agreed to fund the project. That's the only project that was 350bn, do you have any question to ask regarding Chinese loan to Kenya?

 
Kama ni deal ya SGR to Kisumu then you are in for a rude shock coz China agreed to fund the project. That's the only project that was 350bn, do you have any question to ask regarding Chinese loan to Kenya?


Is that a malaba route?
 
Can malaba route be kisumu and vise versa is the case!!!?
Malaba route is in the same line with Kisumu route. The line runs from Mombasa - Nairobi - Naivasha - Kisumu- Malaba. It's one line with no branches
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…