Meatballs and spaghetti

Meatballs and spaghetti

Mkate wowote ukiuacha wazi bila mfuko wa nailoni unakuwa mgumu (unakauka). Otherwise for a quick use ukitoast unapata crumbs.

napenda sana spagheti and meatballs. Asante
Mbadala wake waweza nunua mikate kama ile boflo sio ile ya slice ya bakhresa unauacha hadi unakua mgumu sana hauliki then unauvunja vunja unapata crumbs....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
mhhh....yummy!!! MashAllah....kisiki nazar na lage! Umejaaliwa farhina, hem nasi tujikaze!

Na baby wetu hajambo?
 
mhhh....yummy!!! MashAllah....kisiki nazar na lage! Umejaaliwa farhina, hem nasi tujikaze!

Na baby wetu hajambo?

Shukraan baby hajambo vipi na mkwe wangu nae

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hili pishi litahusika jikoni kwangu easter hii
 
farkhina. ulishawahi weka recipe ya nyama ya ng'ombe ndani ya ngano. Nilijaribu hiyo kitu, ilikuwa yumy, family yangu ilifurahi sana siku hiyo. naomba niambie hiyo kitu inaitwaje kwa ki-english
 
Last edited by a moderator:
Shukraan baby hajambo vipi na mkwe wangu nae

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Ivi da Faa umepata baby gani? Mi nna baby girl hapa km 2 months ivi. Naona kama hatujapishana?
 
Ivi da Faa umepata baby gani? Mi nna baby girl hapa km 2 months ivi. Naona kama hatujapishana?

Wow....mie nna wa 1 month baby girl pia...maashallah habibty hongera sana na ka bany allah amjaalie awe miongoni mwa siratwal mustakin

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wow....mie nna wa 1 month baby girl pia...maashallah habibty hongera sana na ka bany allah amjaalie awe miongoni mwa siratwal mustakin

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Amiin. Nawe wa kwako pia. Hongera mamii. Allah atuwekee
 
Back
Top Bottom