Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umechelewa sana kuleta hii taarifaTaarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO
Bwashee mbona huwa unapenda kuchafua hali ya hewa kila mahali?Mtanikumbuka 😄😄
Low hanging fruits 🍌Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO
Cdm wanadhani wamepataTaarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO
Doh i have good memories with meatu.
Hizi dalili za kuhama kwa Wana CCM zinatoa ujumbe kwamba CCM ya sasa ni Sawa na meli inayoelekea kuzama kwa hiyo watu wanaruka kujinusuru. Kama CCM wanapuuza basi muda utasema. Na Bado wengine wengi watahamaTaarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO
Siyo habari hiyo, mtu mmoja kuhamia chadema ndo unaanzisha uzi? Kuna Mashinji, Nassari, Katambi nk walihamia Ccm. Hakuna cha ajabu hapo.Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO
Zilipendwa.Chadema Chukueni watu ambao sio liabilityTaarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO
Huu ni mzigo wa mavi tu, haubebeki kamwe. Hana anachoweza huyu, namfahamu toka akiwa anafanya kazi Shely's Pharmaceuticals. Labda akaongeze wigo wa malaya tu ndani ya CDMHii ndiyo habari mpya ya operasheni +255
Is it worthy? asije kuwa kama akina lembeni, Mwita and many others!
View attachment 2732941
Wew ni CDM usiye akili kbs chama ni cha watu wote, sasa wasipohamia huko wengine ndiyo kitakuwa chama gani sasaAkubaliwe kuingia cdm, lakini asipewe nafasi yoyote ya kugombea hadi ipite miaka minne akiwa bado cdm. Huu mchezo wa wanaccm kuhamia CDM wakishaona kukubalika kwa wananchi, ndio uliwaponza sana CDM kipindi cha dhalimu, maana 90%+ ya walioenda kuunga juhudi ni waliokuwa wanaccm hapo awali. Hawana msimamo wowote hao wanaccm, na nirahisi kurubuniwa na chama chao cha zamani kisha kuihujumu CDM.
DC NA DED wa MEATU wapo salama huko?Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO
Chadema wamemnunua shs ngapi huyo mbunge?Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.
Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .
View attachment 2732934
TOA MAONI YAKO