Meatu: Aliyekuwa Mbunge wa CCM ahamia CHADEMA

Meatu: Aliyekuwa Mbunge wa CCM ahamia CHADEMA

Wew ni CDM usiye akili kbs chama ni cha watu wote, sasa wasipohamia huko wengine ndiyo kitakuwa chama gani sasa
Acha kupamia post bila kuzielewa, ni wapi nimesema asihamie mtu yoyote CDM? Nimesema toka mstari wa mwanzo kabisa, wapokelewe lakini wasipatiwe vyeo bila muda maalum wa assessment. Sio mtu anahamia CDM ili apate cheo, kisha ikitokea mtikisiko kidogo tu anarudi CCM, tena kwa lugha za kuchafua haiba ya chama. Na ushahidi wa lugha za waliohama CDM baada ya kuja kwa mwendo wa vodafasta upo.
 
Akubaliwe kuingia cdm, lakini asipewe nafasi yoyote ya kugombea hadi ipite miaka minne akiwa bado cdm. Huu mchezo wa wanaccm kuhamia CDM wakishaona kukubalika kwa wananchi, ndio uliwaponza sana CDM kipindi cha dhalimu, maana 90%+ ya walioenda kuunga juhudi ni waliokuwa wanaccm hapo awali. Hawana msimamo wowote hao wanaccm, na nirahisi kurubuniwa na chama chao cha zamani kisha kuihujumu CDM.
Uwe na shukurani. Kama kupitia yeye anaweza kutwaa Jimbo basi hakuna sababu ya kulipoteza Jimbo kwa sababu ya chuki za kihistoria. Hapa ndipo tunafeli wakati mwingine. Nongwa tupa kule kisha songa mbele
 
Taarifa kutoka kwenye Oparesheni 255, ambayo iko Shinyanga zinaeleza kwamba, Mbunge wa Viti Maalum na Mkuu wa Wilaya wa zamani wa Meatu amehamia CHADEMA.

Usajili huo Mpya umefanyika katika Mkutano Mkubwa wa hadhara uliofanyika Meatu .

View attachment 2732934

TOA MAONI YAKO
CDM ni chama pendwa nchini na always viongozi wake wanaongea UKWELI, uongo ni ushetani mkubwa hapa duniani
 
Acha kupamia post bila kuzielewa, ni wapi nimesema asihamie mtu yoyote CDM? Nimesema toka mstari wa mwanzo kabisa, wapokelewe lakini wasipatiwe vyeo bila muda maalum wa assessment. Sio mtu anahamia CDM ili apate cheo, kisha ikitokea mtikisiko kidogo tu anarudi CCM, tena kwa lugha za kuchafua haiba ya chama. Na ushahidi wa lugha za waliohama CDM baada ya kuja kwa mwendo wa vodafasta upo.
Kwahiyo ziara yote hiyo kwa nchi nzima ni kutafuta tu wanachama wa kawaida? Lazima tukubali kwamba CDM haina watu wa kutosha kufaa kuwa viongozi kwa nchi nzima. Tukiendekeza chuki tutarudi kule kule ambapo CDM inakuwa na Wabunge wachache wazuri mno na kukosa Wabunge wengi wenye uwezo.

Pokea watu wenye uwezo ili CCM ikae pembeni. Ubinafsi na kudeka hapana
 
Chadema wamemnunua shs ngapi huyo mbunge?
Ohoooo mnunuaji kutoka kile chama X,hawezi kununua tena wabunge na hatakuja kuwa na uwezo huo, CDM hawana sera za ununuaji, ni sera ya Lumumba party
 
Uwe na shukurani. Kama kupitia yeye anaweza kutwaa Jimbo basi hakuna sababu ya kulipoteza Jimbo kwa sababu ya chuki za kihistoria. Hapa ndipo tunafeli wakati mwingine. Nongwa tupa kule kisha songa mbele
Hatutaki watu vigeugeu ambao wanakigharimu chama na kukipotezea haiba kwa umma. Tunataka wingi wenye msimamo, sio wingi wa watu vigeugeu.
 
Akubaliwe kuingia cdm, lakini asipewe nafasi yoyote ya kugombea hadi ipite miaka minne akiwa bado cdm. Huu mchezo wa wanaccm kuhamia CDM wakishaona kukubalika kwa wananchi, ndio uliwaponza sana CDM kipindi cha dhalimu, maana 90%+ ya walioenda kuunga juhudi ni waliokuwa wanaccm hapo awali. Hawana msimamo wowote hao wanaccm, na nirahisi kurubuniwa na chama chao cha zamani kisha kuihujumu CDM.
Well said hata mimi sina imani naye
 
Hizi dalili za kuhama kwa Wana CCM zinatoa ujumbe kwamba CCM ya sasa ni Sawa na meli inayoelekea kuzama kwa hiyo watu wanaruka kujinusuru. Kama CCM wanapuuza basi muda utasema. Na Bado wengine wengi watahama
Ana ushawishi huyo dada?
 
Kwahiyo ziara yote hiyo kwa nchi nzima ni kutafuta tu wanachama wa kawaida? Lazima tukubali kwamba CDM haina watu wa kutosha kufaa kuwa viongozi kwa nchi nzima. Tukiendekeza chuki tutarudi kule kule ambapo CDM inakuwa na Wabunge wachache wazuri mno na kukosa Wabunge wengi wenye uwezo.

Pokea watu wenye uwezo ili CCM ikae pembeni. Ubinafsi na kudeka hapana
Hatutaki wingi mbovu, tunataka wingi wenye ubora, ni bora wachache wenye ubora, kuliko wingi mbovu. Ni nani amekudanganya kuwa CDM haina watu wengi wenye uwezo wa uongozi? Kwa taarifa yako watu wengi sana wana uwezo wa kuwa viongozi, ila mifumo mibovu ya kupata viongozi ndio inayopelekea watu hao wazuri kuwa nje ya uongozi, na badala yake wanaingia wezi, waongo, wafitini, na incompetence kwani hao ndio wanawezana na mifumo mibovu.

Hiyo recycling ya viongozi bakini nayo CCM maana ndio uwezo wenu ulipo. Hizo porojo eti ana uzoefu kuhusu mifumo ya ukiritimba, iwapo CDM watakwenda na mitazamo hiyo hakutakuwa na mabadiliko ya kweli. Tunahitaji mabadiliko ya kweli, sio kubeba left overs za CCM na kuzileta CDM.
 
Akubaliwe kuingia cdm, lakini asipewe nafasi yoyote ya kugombea hadi ipite miaka minne akiwa bado cdm. Huu mchezo wa wanaccm kuhamia CDM wakishaona kukubalika kwa wananchi, ndio uliwaponza sana CDM kipindi cha dhalimu, maana 90%+ ya walioenda kuunga juhudi ni waliokuwa wanaccm hapo awali. Hawana msimamo wowote hao wanaccm, na nirahisi kurubuniwa na chama chao cha zamani kisha kuihujumu CDM.
Na huyu kahamia kimkakati, wakimnyima tu ubunge utashangaa kabla ya kampeni kuanza kesharudi CCM. Sijui kwanini hatujifunzi, then huyu yupo nje ya siasa tokea JPM kaingia so she's a liability, hana mtaji wa watu kabisa.
 
Siyo habari hiyo, mtu mmoja kuhamia chadema ndo unaanzisha uzi? Kuna Mashinji, Nassari, Katambi nk walihamia Ccm. Hakuna cha ajabu hapo.
Walihamia CCM au walifuata vyeo? CDM wengi wanafuata siasa maana hakuna vyeo vya kupatia ulaji.
 
Na huyu kahamia kimkakati, wakimnyima tu ubunge utashangaa kabla ya kampeni kuanza kesharudi CCM. Sijui kwanini hatujifunzi, then huyu yupo nje ya siasa tokea JPM kaingia so she's a liability, hana mtaji wa watu kabisa.
Kabisa, watu wa aina hiyo wanahamia CDM ili kutingisha kiberiti kwa CCM yao. Kisha baada ya muda hurubuniwa kurudi CCM na kuishia kuchafua haiba ya chama. Apokelewe sawa, ila kazi yake iwe ni kubeba briefcase za viongozi na sio kupewa cheo chochote. Akitaka cheo aende ACT, CUF, ama aanzishe chama chake.
 
Back
Top Bottom