Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Kabendela hana hamu na mtu huyu!Tatizo unachambua ukiwa kada mwenye kutetea chochote cha serikali.Pia mtu akisoma vema atagundua unatafuta ama kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali au angalau kuteuliwa kuwa katika timu ya Abbas.
Pana hili bandiko:
View attachment 1597410
Tokea kwenye uzi huu:
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ni toleo jipya la Magufuli with all bugs fixed, mpeni kura zenu
Ushauri wa bure, ni vyema kujiridhisha watanzania wote si wajinga kihivyo.
Waswahili walisema: "lisemwalo lipo ..."Kabendela hana hamu na mtu huyu!
Baada ya uchaguzi, Msigwa ajiandae kukabidhi ofisi.
Hii point kubwa Sana , muhimu kuzipotezea hazina maana kabisa.Ubinafsi ndo unatukwamisha wabongo!
mtu akishaanza kujulikana tu anasaliti wanaomshangilia!
Dawa yenu nikuwapotezea!
KUANZIA LEO WADAU POTEZEENI NYUZI ZA MAYALLA POPOTE!
Provided he is Rubbish too! I remember Erick KabenderaRubbish! I no longer waste my time and MBs on Mayalla's rubbish posts!
Rubbish! I no longer waste my time and MBs on Mayalla's rubbish posts!
Mimi naanza na haya:Uchambuzi wangu, unafuatia, ili twende pamoja, nitaichambua para moja moja kwa kuonyesha ipi ni kweli, upi ni uongo na upi ni uzushi.
Karibuni