Mebeberu wana malengo na Tanzania? Waanza uzushi wa fujo baada ya JPM, CCM Kushinda. Wamzushia Magufuli ni dikteta. Kwanini tunanyamaza?

Ukiuliza wafuasi wa Lissu ni kipi kitamfanya Lissu ashinde, watakwambia Lissu ni jasiri sana.

Yani tz kumbe ukiwa jasiri tayari wewe ni Rais
Vipi kuhusu huyo muuwaji wenu ndio anafaa kuwa Raisi hawezi kuongea hata sentensi moja ya kiingereza kilichonyooka japo ni Mwalimu pia ni Phd holder
 
Mayalla tangia umekuwa KADA umekuwa mpumbavu pumbavu kama vijana wa UVCCM
 
Paschal wewe kama mwandishi wa habari umeneemeka vipi na awamu hii?
 
Kwa haya uliyoandika uongo hupo wapi hadi abasi aje akanushe?
 
Your Green brains is not for politics no wonder you was defeated miserably kwenye primary elections wewe lijitu gani unamkosi hata maccm wenzio hawakutaki but unaendelea kujipendekeza?

Msema ukweli ni mpenzi wa mungu ..unatakiwa utubu kwanza ulisababisha kifo cha Kabendere's mother baada yakumchongea kwenye mamlaka isifikilie watanzania wamesahau ndiyo mana nivigumu wewe hata kuteuliwa popote unagundi wewe.
 
Paskali hivi lini mtaongea ukweli? Majuzi tu mmevuruga uwanja na ukurasa wa msemaji mkuu ukapost picha kuaminisha uwanja uko safi! Jana mkaumbuka hali halisi ikajionyesha kwa picha za muda huo!

Hivi kuna haja ya kuwa na wasomi kuheshimiwa tena maana siku hizi hata PhD inakoelekea itakua sio kipimo cha usomi bali ujinga! Yani mtu anaacha kusema ukweli ili bwana mkubwa aone kapewa sifa na hali iko shwari!
 
Burazaaa umeneno kweli

Ila hujanipa mwongozo wa kukutana na H.Polepole
 

Haujui English language, ...
 
Mwambie Meko (Ngosha mwenzio) aache uongo. Hivi tangu lini kitambulisho cha mjasiriamali ukakitumia kuombea mkopo benki?

Watanzania wa sasa sio washamba kama wale wa karne ya 19.
Hata Kadi ya Chama Tawala ambacho ni kitambulisho kamili cha mmiliki maana kina Jina, Namba, Anuani na Muhuri haiwezi kutumika kuombea mkopo benki ingekuwa inakubalika sote tungekuwa wanachama wa CCM.

Kitambulisho cha mjasiriamali hakimtambulishi mmiliki anaitwa nani wala wa wapi bali akiwa nacho mkononi kinamtambulisha kuwa ni mjasiriamali ingawa ameazima au ameiba.

Hii ina maana kikipotea na kikapatikana hakiwezi kufuatiliwa mpaka kwa aliyepotelewa hata kikipelekwa Polisi kwa hiyo kwa mapungufu hayo hakiwezi kuunganisha na cha Taifa.
 
Jpm mwangalie MAYALA NJAA ITAMUUA AMEHANGAIKA SANA MIAKA MITANO YOTE AMETOKA KAPA
Labda aje ampe nafasi ya msemaji wa Chama. Uteuzi kwa utumishi nje ya Chama huyo JPM muda umeisha. Hapo alipo keshaanza kuandaa Statement of Handing over ya ofisi kuu.

Na bora afanye hivyo kwa amani akiheshimu matakwa ya wananchi waliyo amua kwa kura.

Akijifanya mbabe na mjuaji shauri yake!
 
l guess it was typo error sidahani kwa sababu ya" were" tuu moja kwa moja unaniweka kwenye kikundi Cha" No Mothers ,No Fathers,No Uncles, am trying to preach But cant reach you au we are in lait Directions" utakua haunitendei haki mkuu

Siyo kosa moja tu na wala makosa yako siyo ya kiuandishi bali ni uelewa wa grammar wa english language, chukulia hata ulivyoanza sentensi yako nakunukuu ,,Your Green brains is not for politics no wonder you was, ...'' hiyo sentensi haina makosa ya kiuandishi bali ni ya grammar, hivyo bado hata wewe pia haujui english Language, ...
 
The message is well understood sidhani will make any change on content delivered.kidhungu changu kipo poa saaaana kuliko bosi wenu Enterpruuuunuaasheepe sawa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…