Mecco Sports Club

Yanga walilalamika uwanja ulikuwa na maji, mtanga,aji wa RTD kanda ya nyanda za juu kusini akawauliza, KWANI MECCO WALIKUWA SAMAKI? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe hawa jamaa hawajaanza junzi kulialia ni katabia kao.
 
Hii MECCO ndo ya pale karibu na mabatini upande wa kushoto unapopanda stand kuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…