Mechi 3 bora za wakati wote!

Mechi 3 bora za wakati wote!

Ac Milan 3 Liverpool 3. Mwaka 2005
Yanga 3 Simba 3 .2014. Kipindi cha kwanza tuu Yanga walikua mbele kwa goli tatu, kila mtu akajua goli tano walizopigwa 2012 ndio zitarudi sasa, ila maajabu yaliyotokea kipindi cha pili si Yanga wala Simba mpaka Leo hawaamini kilichotokea


Sent using Jamii Forums mobile app
 
78b15664029c92b7ecb39ab39a37cd49.jpg


Hii ndo mechi ya kukumbukwa na vizazi vyote
mtu alitetemeka vibaya mnooo
 
Yanga 3 Simba 3, Yanga tulitangulia 3 mpaka half time, wahuni wakaja wakasawazisha.
 
1. France 1 Vs Italy 0 ( UEFA euro 2000 final )

2. Germany 2 Vs Czech republic 1( UEFA uero 1996 , mnyama Oliver biehoff came off bench and scored twice with header.

3. AC Milan 3 Vs Liverpool 3 ( uefa cup final 2004) hapo mnyama Gerrard anaonyesha ukomavu wa kuongoza timu
 
German VS Cameroun World Cup mwendo wa Undava. Kadi 16 za Njano 2 Red Cards. Haiji kutokea
Tafuta game ya world cup mwaka 2006 kati ya Uholanzi dhidi ya Ureno mechi ilibatizwa jina la Battle of Nuremberg.

Kadi nyekundu 4 na njano 16.
So far ni rekodi mpk leo ya world cup.
 
Nigeria vs brazil 1996 semi final olympic games Atlanta
Michuano ya olimpiki kwa majira ya kiangazi, yaliyofanyika jijini Atalanta Georgia mwaka 1996 nchini Marekani ni moja ya michuano bora ya wakati wote.

Nigeria ikiwa na kizazi hatari cha vijana waliitikisa Dunia kwa kutwaa medali ya dhahabu.

Baada ya hapo kizazi kile hakikupata tena mafanikio nje ya bara lao la Afrika.
 
Michuano ya olimpiki kwa majira ya kiangazi, yaliyofanyika jijini Atalanta Georgia mwaka 1996 nchini Marekani ni moja ya michuano bora ya wakati wote.

Nigeria ikiwa na kizazi hatari cha vijana waliitikisa Dunia kwa kutwaa medali ya dhahabu.

Baada ya hapo kizazi kile hakikupata tena mafanikio nje ya bara lao la Afrika.
Individually walipata mafanikio ( kwenye klabu level) namkumbuka kanu siku Ile anavunga bao anatembea Kwa mikogo Sana , na wengine wanaruka sarakasi , kama sijasahau finidi George, amunike au amokachi
 
sema mechi zote, ila moja pekee ambayo viti havikukalia, ni ile 2014.

R. Madrid Vs A. Madrid (UEFA final kule Lisbon Ureno).

Kazi la le captain Ramos ilifanya mashabiki walie kama watoto kwa furaha, huku wimbo wa Hala madrid unapigwa baada ya shughuli nzito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Man Utd 4-3 Man City (mwaka 2009.)
_46410778_owen_new_credit.jpg

Wakati Craig Bellamy akiisawazishia Man City dakika ya 90 na kufanya ubao usomeke 3-3 wengi waliamini mechi hiyo ingeisha kwa sare, zikaongezwa dakika 4, City wakarudi nyuma kupaki basi.
Ghafla Michael Owen akaibuka shujaa baada ya kufunga goli la ushindi dk ya 96 nje ya zile 4 za nyongeza. Kocha wa Man City alilalamika sana baada ya Refa kushindwa kumaliza mpira kwa muda sahihi.

2. Liverpool 3-3 Ac Milan (Fainali ya Uefa 2005)
0505250137b.jpg

Fainali hii iliyofanyika Instanbul, Liverpool walikuwa nyuma kwa magoli 3-0 wakati wa mapumziko, kipindi cha pili kinaanza kwa kocha Benitez kumuingiza Dietmar Hamann ambaye alienda kumzuia Pirlo asicheze na kuwafanya Liverpool warudi mchezoni, dk 90 mechi inaisha 3-3 na Liverpool wanaenda kubeba ndoo kwa penati baada ya extra time.
final.jpg

ucl+2005+LFC+vs+Milan.jpg


3. Derpotivo La Coruna 4-0 Ac Milan ( Robo Fainali ya Uefa, April 7, 2004)
270271.jpg

Mabingwa watetezi wa Ulaya, AC Milan wakiwa na advantage ya ushindi wa 4-1 walioupata nyumbani San Siro, walienda kuwafata Derpotivo wakiwa vifua mbele lakini wakakutana na dhahama nzito ya kipigo cha 4-0 toka kwa Derpotivo. Walter pandiani kaibuka staa wa mchezo kwa kutakata na kuwapoteza mastaa wa Milan kama Kaka, Pirlo, Inzaghi na Shevchenko.
Ac Milan wakatolewa kwa jumla ya Magoli 5-4.

Karibu mdau ututajie na wewe mechi zako 3 unazozikubali.
Liverpool vs AC Milan Istanbul ndiyo mechi itakayokumbukwa sana.
Kumbuka Liverpool walisawazisha bao zote 3 ndani ya dk 6, Milan wakiwa na viungo bora na mabeki hodari chini ya mkongwe Paul Maldini
 
Chelsea vs Liverpool robo fainali uefa msimu wa 2007/08 iv nadhani..ilikuwa gemu kali sana maana liver walipigwa 3-1 moja apo Anfield. Mechi ya marudiano pale Stamford bridge, liverpool walikaza sana but gemu ikaisha 4-4 Chelsea akafuvu kwenda lembe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom