Wanavyopiga kelele utadhani labda wana kombe la kimataifa, kumbe Eti wameingia makundiMakolo bwana, hiyo rekodi naona inakukondesha kinyama. Na bado. Utakuwa ukivaa nguo, ni kama imeanikwa.
Kumbuka na hiyo team iliyoingia makundi yaani Simba SC nayo inashiriki kwenye hiyo Ligi ambayo Yanga ni unbeaten hadi Leo, sasa kama kuingia makundi ndo ubora mbona hao Simba wameshindwa kumfunga YangaInashangaza sana, team isiyofungwa kwa zaidi ya mechi 30 inakuwaga ni moto wa kuotea mbali si ndani ya ligi ya nyumbani tu, bali hadi katika makombe yote anayoshiriki kwa wakati huo. Sasa hili la Yanga kutofungwa mechi zote hizo alafu anatolewa CLUB BINGWA AFRICA kabla hata ya makundi inashangaza sana.
Naanza kupata mashaka na yanayonenwa na baadhi ya wakereketwa wa mpira nchini kuwa YANGA huwa wanatoa hongo kwa timu zingine ili ishinde kwa namna yoyote ile!!!
Tatizo mkiambiwa ukweli mnakataaMakolo bwana, hiyo rekodi naona inakukondesha kinyama. Na bado. Utakuwa ukivaa nguo, ni kama imeanikwa.
Kama kuingiq makundi kazi rqhisi na nyie mngufuzuWanavyopiga kelele utadhani labda wana kombe LA kimataifa, kumbe Eti wameingia makundi
Tuliambiwa baada ya kushindwq kufuzu makundi hasirq zote mnahamishia kwetu lazima mtupige kama ngomaKumbuka na hiyo team iliyoingia makundi yaani Simba SC nayo inashiriki kwenye hiyo Ligi ambayo Yanga ni unbeaten hadi Leo, sasa kama kuingia makundi ndo ubora mbona hao Simba wameshindwa kumfunga Yanga
Wacha tukae kimya tuone itakavyokuwa.Wanavyopiga kelele utadhani labda wana kombe LA kimataifa, kumbe Eti wameingia makundi
Unamchanganya mhaya kwa hiyo picha hapo dah!Unbeaten yenyewe droo kama zotee,ujue ni ya kuotea.
Sasa makundi ni jambo la kawaida kwako mpaka ukafikia hatua ya kubeza?Wanavyopiga kelele utadhani labda wana kombe LA kimataifa, kumbe Eti wameingia makundi
Simba imekosa ubingwa, Yanga imepata ubingwa tena unbeaten.Inashangaza sana, team isiyofungwa kwa zaidi ya mechi 30 inakuwaga ni moto wa kuotea mbali si ndani ya ligi ya nyumbani tu, bali hadi katika makombe yote anayoshiriki kwa wakati huo. Sasa hili la Yanga kutofungwa mechi zote hizo alafu anatolewa CLUB BINGWA AFRICA kabla hata ya makundi inashangaza sana.
Naanza kupata mashaka na yanayonenwa na baadhi ya wakereketwa wa mpira nchini kuwa YANGA huwa wanatoa hongo kwa timu zingine ili ishinde kwa namna yoyote ile!!!
Kundi pekee wanaloweza kufuzu ndugu zetu utopolo ni kundi la whatsapp admin akiwa Mzungu kichaa manaraKama kuingiq makundi kazi rqhisi na nyie mngufuzu
Usisahau kuingia makundi kunaendana na mshiko siyo chini ya Tsh 1.3bn. Je, uto, hii pesa siyo muhimu kwenu?Wanavyopiga kelele utadhani labda wana kombe LA kimataifa, kumbe Eti wameingia makundi
Hiii bojoooooUnamchanganya mhaya kwa hiyo picha hapo dah!