Mechi 42 unbeaten lakini wameshindwa kuingia makundi CAF!

Mechi 42 unbeaten lakini wameshindwa kuingia makundi CAF!

Kiuhalisia hao ni unbeaten wa mchongo. Kuna mechi nyingi walistahili vipigo lakini walibebwa na kupata sare, mfano dhidi ya Namungo, Ruvu shooting. Ni unbeaten waliotokana na waamuzi wabovu na sio uwezo.
 
Hii ni dalili ya ushindi wa michongo.
Ni jambo gumu sana timu imara inayoweza kutopoteza mechi nyingi namna hiyo halafu ishindwe kufurukuta mashindano ya kimataifa.

Hii timu ilifanikiwa pia kupata ushindi wa mchongo wa goli nyingi sana kwa Zalan na wakawadanganya mashabiki wao ambao wote ni viazi isipokuwa wawili tu kuwa timu ni bora sana.

Ukweli hamuwezi kwenda popote hadi siku mtakapoamua kucheza mpira na sio kamari.
Sio lazima hata barca nao wanatoka uefa wanaangukia europa,si ajabu

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
An biten ya mchongo bahasha za kaki na mpesa"WHF5UW6 imethibitishwa ndugu refa umepokea tsh 1,000,000 kutoka kwa jii esiii emuu salio lako ni tsh 1,000,500'
 
An biten ya mchongo bahasha za kaki na mpesa"WHF5UW6 imethibitishwa ndugu refa umepokea tsh 1,000,000 kutoka kwa jii esiii emuu salio lako ni tsh 1,000,500'
Kama ni un beaten ya mchongo jaribuni nyinyi iyo ya mchongo, msimu wa pili huu Yanga ana anza mechi ya ufunguzi na Simba na mnapasuliwa Kila msimu Ina maana na Simba ana hongwa!!!
 
Hii ni dalili ya ushindi wa michongo.
Ni jambo gumu sana timu imara inayoweza kutopoteza mechi nyingi namna hiyo halafu ishindwe kufurukuta mashindano ya kimataifa.

Hii timu ilifanikiwa pia kupata ushindi wa mchongo wa goli nyingi sana kwa Zalan na wakawadanganya mashabiki wao ambao wote ni viazi isipokuwa wawili tu kuwa timu ni bora sana.

Ukweli hamuwezi kwenda popote hadi siku mtakapoamua kucheza mpira na sio kamari.
Hv ukuona vijana walivyopambna huko sudan au
 
Psg
Man city
Juve
Arsenal
Wanafanya vyema kwenye league ila wanapokuja suala la UEFA wanakuwa hawafanyi vizuri
Lakini hiyo haiwanyi ziwe timu mvivu acha kukariri
 
Hii ni dalili ya ushindi wa michongo.
Ni jambo gumu sana timu imara inayoweza kutopoteza mechi nyingi namna hiyo halafu ishindwe kufurukuta mashindano ya kimataifa.

Hii timu ilifanikiwa pia kupata ushindi wa mchongo wa goli nyingi sana kwa Zalan na wakawadanganya mashabiki wao ambao wote ni viazi isipokuwa wawili tu kuwa timu ni bora sana.

Ukweli hamuwezi kwenda popote hadi siku mtakapoamua kucheza mpira na sio kamari.
Nyie kachukueni ubingwa wa africa[emoji16][emoji1787]
 
We ambae hutoi draw mbona hukuchukua Kombe?
Sikuchukua vipi hyo miaka 4 mfululizo mlichukua nyie? Nyie chukueni tuu na droo zenu na magoli yasiyozidi 2 hahaa. Mkuu salamaleko
 
Sikuchukua vipi hyo miaka 4 mfululizo mlichukua nyie? Nyie chukueni tuu na droo zenu na magoli yasiyozidi 2 hahaa. Mkuu salamaleko
Kweni mpaka saivi msimao wa ligi so wote wametoa draw 2 sasa unachoongea ni nini?
 
An biten ya mchongo bahasha za kaki na mpesa"WHF5UW6 imethibitishwa ndugu refa umepokea tsh 1,000,000 kutoka kwa jii esiii emuu salio lako ni tsh 1,000,500'
Wakati nyie ndio mnaoongoza kwa kubebwa...magoli tata magoli ya offside za wazi...penati za michongo...kabla ya derby morrison anafungiwa asicheze mechi tatu na faini..ili hali inonga kamchezea rafu ya hatari sure boy hiyo ikafunikwa!
Zote nijuhudi za baba yenu huko juu

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Wazee wa bahasha hao,wanaforce ushindi kwa bahasha.

Sasa wanapata aibu maana mpira hauonekani
 
Psg
Man city
Juve
Arsenal
Wanafanya vyema kwenye league ila wanapokuja suala la UEFA wanakuwa hawafanyi vizuri
Lakini hiyo haiwanyi ziwe timu mvivu acha kukariri
Hivi nao huwa wanatolewa raundi za awali kama Ndala
 
Kama ni un beaten ya mchongo jaribuni nyinyi iyo ya mchongo, msimu wa pili huu Yanga ana anza mechi ya ufunguzi na Simba na mnapasuliwa Kila msimu Ina maana na Simba ana hongwa!!!
Wanahongwa waamuzi
 
Tuliambiwa baada ya kushindwq kufuzu makundi hasirq zote mnahamishia kwetu lazima mtupige kama ngoma
Yanga alikuwa ni mwenyeji wa mechi alichokuwa anakifanya ni kupromote game ili mashabiki wajitokeze Kwa wingi baada ya kupata majonzi ya kutolewa na hilal, Simba walikuwa hawaifanyii promo mechi ndo mana ukaona watu wa Yanga wanatamba Sana ili wavute mashabiki
 
An biten ya mchongo bahasha za kaki na mpesa"WHF5UW6 imethibitishwa ndugu refa umepokea tsh 1,000,000 kutoka kwa jii esiii emuu salio lako ni tsh 1,000,500'
Daaaah nimecheka Sana kumbe refa wa mchongo acc yake ilikuwa na 500 tu[emoji3][emoji3][emoji3]..Ashukuru Sana huo muamala.
 
Back
Top Bottom