Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Huu sasa ndo mpira wa mabingwa Kati ya hawa mmoja wao mdoe bigwa na atachukua kombe..Habari.
Mechi imekuwa ya moto kweli kweli toka dakika ya kwanza kwa timu zote mbili.
Hakika kwa kandanda hili lenye kasi na accuracy ya pasi za uhakika.
Hadi sasa Al Ahly amepata goal la kuongoza dk 24.
Simba wana tabia mbaya sana kuvamia sherehe ambazo sio zaoHao ndio wenye kombe lao.. sio wahuni wanajipa vyeo kwamba wao ni wakubwa wanaenda kutwaa kombe kisa wanapiga watu matobo na pasi nyingii za kipuuzi
Mpira toka dk ya 0 ni wa kasi na kutumia nguvu.H
Huu sasa ndo mpira wa mabingwa Kati ya hawa mmoja wao mdoe bigwa na atachukua kombe..