NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kuna vitu hutokea tanzania ambavyo huwezi kuviona popote.dah huwa nacheka sana na kusikitika nikiwaza ile mechi. hata ndondo cup sio vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu hutokea tanzania ambavyo huwezi kuviona popote.dah huwa nacheka sana na kusikitika nikiwaza ile mechi. hata ndondo cup sio vile
kanisa, wachambuzi eti wanatuaminisha hii ni ligi bora afrika masharki na katiKuna vitu hutokea tanzania ambavyo huwezi kuviona popote.
Mbona ninyi mling'oa viti na hamkurudi uwanjani mkakimbia. Hiyo umesahau?Ni Israel Nkongo Mujuni na hii ni baada ya Uto kukandwa vilivyo goli 3-1 na Azam FC katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
RAI YANGU KWA TFF: Hawa Uto ukiwakanda goli nyingi huwa wanageuka mabondia. Chonde chonde muongezeeni ulinzi Refa wa mechi ya 23/10, Ndg. Ramadhani Kayoko kwani anafamilia na inamtegemea.
Hata vichaa wana mwerevu wao.kanisa, wachambuzi eti wanatuaminisha hii ni ligi bora afrika masharki na kati