Mechi iliyochezwa muda mrefu zaidi duniani

sasa ukute ulibet ukaweka mzigo wa maana show ikiwa hivyoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sijawa na furahA mwez sasa,lakn Uzi huu umenifanya nicheke mpaka majiran wamemaind,
Uzur wake ndo nimetoka kuchek MAN VS CELTA VIGO na mzigo niliweka kwa celta,

Stress zote kwishney
 
wewe bwana muongo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .

we jamaa nimecheka kwa sauti hadi wife kashtuka usingizini. hapa kuna watu watakimbilia google
 
Mungu anakuona
 
We noma
 
Akili za kibashite hizi, ndo mambo gani kutufanya tuonekane mabashite mbele za watu.

Hiyo mechi penati zilipigwa hadi na mashabiki nini... duh you made my day mkuu. Thanks;.
 
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
Fiction
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…