Mechi ipi bora ya Simba kimataifa

Naomba unifikishie ujumbe kwake pia. Ikiwezekana tuishie tu kwenye kuitana mbumbumbu, utopolo, makolo, nyani Luc nani sijui yule!!

Lakini tuwaonee huruma wazazi aisee.
wazazi hawakwepi lawama kutuzalia utopolo mkuu,heri ungejua mama yako yanga unakaribia kuzaliwa rudini tumboni
 
Wajanja wamebuni vitu vikubwa kama melo alivyotuletea jf

Wewe mjanja hiyo smart yako umebuni nini zaidi ya kusave hayo mascreen shorts na porn.

Tulia bambukicha 😂😂
vilaza mmebuni kuvuta embassy na bangi
 
Wajanja wamebuni vitu vikubwa kama melo alivyotuletea jf

Wewe mjanja hiyo smart yako umebuni nini zaidi ya kusave hayo mascreen shorts na porn.

Tulia bambukicha [emoji23][emoji23]
Umefeli. Unasifia Melo kuanzisha JF wewe unashindwa kutafuta kitu kidogo hicho kwenye simu yako unataka nikufanyie mimi, usipende mtelemko utaolewa kabla ya siku zako dada yangu.
 
Simba na ferivialo ya Angola sijui kama nimepatia spelling, yule kipa alikuwa hajawahi kufungiwa ila alienda nyavuni mara tatu walipokutana na Simba kwenye kombe la caf
 
Tunapoamua kukemea maovu tukemee bila kuwa na nepotism, hiyo ndio point yangu kubwa.

Pamoja sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Namshtua na kumchachua kidogooo.
kumjibu atajisifu ,simba hatuna haja kuwajibu tunajishusha viwango,ila tunawajibu kibinadamu wasijisikie vibaya
 
Unapata wapi nguvu kusema simba kupigwa kimataifa wakati hao simba wamekupiga magoli 6 na magoli 5 kukazia we ni utopolo.
 
Unapata wapi nguvu kusema simba kupigwa kimataifa wakati hao simba wamekupiga magoli 6 na magoli 5 kukazia we ni utopolo.
Unamsemaje mwanaume(YANGA) aliekuingilia mara nyingi zaidi toka dunia iumbwe
 
kumjibu atajisifu ,simba hatuna haja kuwajibu tunajishusha viwango,ila tunawajibu kibinadamu wasijisikie vibaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mm ni 2
Simba vs platinum
Simba vs plateau utd

Hizi mechi 2 zilibamba sanaa kwanza zilikuwa na pressure toka kwa utopolo ...utopolo walikwenda kuwapokea hao wageni wote wawili wakajua watatoboa ...ebanaa walichokutana nacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…