Mechi kali leo

Mechi kali leo

lol!!!! hahahahahaha hakuna tena wa kusimamisha, ikitokea hivyo itakuwa ni uzembe wa hali ya juu. Ulikuwa unalia au kutokulala? Mbona macho yamevimba? hahahahahaha lol! It was just a game 🙂🙂


Hahahahahahaha!!!! Nilikesha humu nikiwa natazama vijana mnavyotiririka mistari, mistari yenu yote nimeirekod nitawatolea singo kama mtashindwa kuchukua tena ndoo, ombea Blackburn amkazie LFC....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ngoja tusubiri tuone, ila mimi naamini kabisa matokeo ya jana yametupa confidence ya hali ya juu sioni mwingine wa kutusimamisha labda majeruhi tu ya kutisha ya key players otherwise njia nyeupeeeeee lol!!!! Hahahahahaha we tengeneza single ila utafakari utamuuzia nani? Wateja wa single zako msimu huu hawako jaribu msimu ujao lol!! 🙂🙂

Hahahahahahaha!!!! Nilikesha humu nikiwa natazama vijana mnavyotiririka mistari, mistari yenu yote nimeirekod nitawatolea singo kama mtashindwa kuchukua tena ndoo, ombea Blackburn amkazie LFC....
 
Ngoja tusubiri tuone, ila mimi naamini kabisa matokeo ya jana yametupa confidence ya hali ya juu sioni mwingine wa kutusimamisha labda majeruhi tu ya kutisha ya key players otherwise njia nyeupeeeeee lol!!!! Hahahahahaha we tengeneza single ila utafakari utamuuzia nani? Wateja wa single zako msimu huu hawako jaribu msimu ujao lol!! 🙂🙂

Hahahaha!! Mteja wangu WA kwanza ni wewe na wenzako nawapa buree kabisa.......

Mimi nawatakia kila la heri mbebe tu angalau iwe faraja kwenu......
 
Back
Top Bottom