Mechi kali leo

lol!!!! hahahahahaha hakuna tena wa kusimamisha, ikitokea hivyo itakuwa ni uzembe wa hali ya juu. Ulikuwa unalia au kutokulala? Mbona macho yamevimba? hahahahahaha lol! It was just a game πŸ™‚πŸ™‚


Hahahahahahaha!!!! Nilikesha humu nikiwa natazama vijana mnavyotiririka mistari, mistari yenu yote nimeirekod nitawatolea singo kama mtashindwa kuchukua tena ndoo, ombea Blackburn amkazie LFC....
 
Reactions: BAK
Ngoja tusubiri tuone, ila mimi naamini kabisa matokeo ya jana yametupa confidence ya hali ya juu sioni mwingine wa kutusimamisha labda majeruhi tu ya kutisha ya key players otherwise njia nyeupeeeeee lol!!!! Hahahahahaha we tengeneza single ila utafakari utamuuzia nani? Wateja wa single zako msimu huu hawako jaribu msimu ujao lol!! πŸ™‚πŸ™‚

Hahahahahahaha!!!! Nilikesha humu nikiwa natazama vijana mnavyotiririka mistari, mistari yenu yote nimeirekod nitawatolea singo kama mtashindwa kuchukua tena ndoo, ombea Blackburn amkazie LFC....
 

Hahahaha!! Mteja wangu WA kwanza ni wewe na wenzako nawapa buree kabisa.......

Mimi nawatakia kila la heri mbebe tu angalau iwe faraja kwenu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…