denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Yale maajabu ya mpira wetu wa bongo yameendelea baada ya mechi ya NBC Premier League, kati ya Namungo na Mbeya Kwanza, kuahirishwa sababu ikiwa ni ambulance kuchelewa kurudi uwanjani.
Uongozi wa Namungo umejitetea kwa kusema halmashauri ina ambulance moja, hivyo kutokana na gari hilo la kubebea wagonjwa kumpeleka mgonjwa hospitali, lilichelewa kurudi ili kuuwahi mchezo huo uliokuwa upigwe jana.
Kwa sasa inasubiriwa taarifa kutoka TFF ili kuona kama mchezo huo utapangiwa tarehe nyingine, au kama patakuwa na maamuzi yoyote mengine tofauti.
Uongozi wa Namungo umejitetea kwa kusema halmashauri ina ambulance moja, hivyo kutokana na gari hilo la kubebea wagonjwa kumpeleka mgonjwa hospitali, lilichelewa kurudi ili kuuwahi mchezo huo uliokuwa upigwe jana.
Kwa sasa inasubiriwa taarifa kutoka TFF ili kuona kama mchezo huo utapangiwa tarehe nyingine, au kama patakuwa na maamuzi yoyote mengine tofauti.