joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kesho watalalamika ratiba zinabana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kuhesabu.Kuanzia tarehe 18 mpaka 23 ni siku 6?.Mechi inachezwa Ijumaa tarehe 23.Hakuna ndege ya moja kwa moja kwenda Ivory Coast. Baada ya mechi ya Mtibwa timu ingepumzika siku ngapi?Baada ya kucheza gemu 6 ndani ya siku 15.Na kucheza kila baada ya siku 2. Ratiba ya namna hii hamna popote duniani. Tumia hata 10% ya ubongo wako utalielewa hilo.Wewe unaona timu kuahirishiwa Mechi yenye tofauti ya siku 6 katikati ni Sawa?
Wakati TFF wanapanga ratiba hawakuliona hilo?Unajua kuhesabu.Kuanzia tarehe 18 mpaka 23 ni siku 6?.Mechi inachezwa Ijumaa tarehe 23.Hakuna ndege ya moja kwa moja kwenda Ivory Coast. Baada ya mechi ya Mtibwa timu ingepumzika siku ngapi?Baada ya kucheza gemu 6 ndani ya siku 15.Na kucheza kila baada ya siku 2. Ratiba ya namna hii hamna popote duniani. Tumia hata 10% ya ubongo wako utalielewa hilo.
Sasa unaniuliza mimi ndio TFF. Wapigie uwaulize.Wakati TFF wanapanga ratiba hawakuliona hilo?
Hujui kama Coastal ndiyo ilikuwa inafuatia kwa mujibu wa ratiba?wewe ulicheza AFL kiasi cha kujifananisha na Simba kwenye ratiba?Unajichagulia timu ya kucheza nayo kiporo tena tawi.
Tuache sababu zisizo na kichwa wala miguu AFL hajacheza Simba peke yake angalia wengine kwenye ligi zao huko kama wana viporo tena kama Wydad kafika final achana na Simba kacheza mechi mbili za AFLHujui kama Coastal ndiyo ilikuwa inafuatia kwa mujibu wa ratiba?wewe ulicheza AFL kiasi cha kujifananisha na Simba kwenye ratiba?
BODI YA LIGI ni wapuuzi, kutoka tar18 hadi 23 kuna siku ngapi hapo?Soka la Nchi lipo kwenye mabega ya Simba Sc
Umeangalia ligi ya Misri?Al Ahly ana viporo 6,Mamelod ana viporo viwili,unaonaje ajabu kwa Simba kuwa na kiporo komoja?unajua safari ya Ivory Coast inachukua muda gani,unadhani kuna ndege ya moja kwa moja kuelekea Ivory Coast kutokea Dar?Tuache sababu zisizo na kichwa wala miguu AFL hajacheza Simba peke yake angalia wengine kwenye ligi zao huko kama wana viporo tena kama Wydad kafika final achana na Simba kacheza mechi mbili za AFL
Wachana na wavimba macho watapiga kelele mchana usiku watalala.Umeangalia ligi ya Misri?Al Ahly ana viporo 6,Mamelod ana viporo viwili,unaonaje ajabu kwa Simba kuwa na kiporo komoja?unajua safari ya Ivory Coast inachukua muda gani,unadhani kuna ndege ya moja kwa moja kuelekea Ivory Coast kutokea Dar?
Mpira sio unavyowaza tu kwamba timu fulani itafungwa tu,nani kakuambia Simba inamkimbia Azam,mbona mashabiki wa Majini Fc mmekuwa mazezeta hiviMliwakwepa Azam hivihivi, mlipokutana Mwanza uliona kilichotokea, round ya Pili sijui mtakimbilia wapi game inapigwa Azam complex.
Ligi ya Egypt ime anza mwezi gani au una ongea vitu hujui? by the way Al Ahly walifika semi final kwenye AFL kabla huaja changia hoja fanya utafitiUmeangalia ligi ya Misri?Al Ahly ana viporo 6,Mamelod ana viporo viwili,unaonaje ajabu kwa Simba kuwa na kiporo komoja?unajua safari ya Ivory Coast inachukua muda gani,unadhani kuna ndege ya moja kwa moja kuelekea Ivory Coast kutokea Dar?
Kiporo Chenu Kilikuwa Azam Ila Mnataka Kukimbilia Tawini Hivi Huwa Mmerogwa?Kwani nyie mlishiriki AFL?Al Ahly wenyewe wanacheza kiporo cha CAFCL leo.BTW mbona Simba walipotaka kucheza na Coastal Union kupunguza viporo mlipiga kelele hadi TFF wakakataa?
Wakati tunachukua kombe mara nne mfululizo na tukicheza robo fainali kuliafutia taifa nafasi nne ya timu za Tanzania kushiriki kimataifa tulikuwa na viporo pia,kumbuka hilo.Simba anaangaliwa kwa maslahi ya TaifaKiporo Chenu Kilikuwa Azam Ila Mnataka Kukimbilia Tawini Hivi Huwa Mmerogwa?
Haya Subiri Hicho Kiporo Chenu Sisi Tunaanza Mzunguko Wa Pili Leo.
Ila Kumbuka Sifa Ya Kiporo Kuchacha!
Wakati tunachukua kombe mara nne mfululizo na tukicheza robo fainali kuliafutia taifa nafasi nne ya timu za Tanzania kushiriki kimataifa tulikuwa na viporo pia,kumbuka hilo.Simba anaangaliwa kwa maslahi ya Taifa
Ni kweli but Champions League safari yenu ndio imefika mwisho,hongereni kwa kufikia malengo yenu ambayo ni makundiTumeanza Mzunguko Wa Pili Kwa Goal Tatu Haya Subirini Kiporo Kilichochacha.