Mechi Kupelekwa Arusha: Simba na KMC lao Moja

Mechi Kupelekwa Arusha: Simba na KMC lao Moja

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Kwa tuliosoma Cuba kuna mchezo unafanyika kwa kutupumbaza wa game fixing Simba na KMC kwa wale watu wenye upeo mkubwa Kauli ya Ahmed na taarifa ya KMC ni kutupumbaza tu.

Kuna mtu anataka point za mezani hapa
 
Back
Top Bottom