Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Saa nne usikuAl Ahl na Mamelod saa ngapi? Hii si ya kukosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa nne usikuAl Ahl na Mamelod saa ngapi? Hii si ya kukosa
Sawa dada mvaa vjora na madela. Endeleeni kutesekaKesho si-mbwa ataikalia
🤙🤙🤙Saa nne usiku
Mimwenyewe nimeshangaa sana ilikuwa nikubutuabutua tu nikadhani labda hizo ndizo mbinu mpya kulingana na hatua michuano ilipo fikiaKwa nilichokiona Jana usiku hizo timu hazichezi Kwa kutulia ,Simba anaenda Fainali
Ni kweli halafu fainali ni Simba vs Al AhylKwa nilichokiona Jana usiku hizo timu hazichezi Kwa kutulia ,Simba anaenda Fainali
Kwasasa naona msuvu anategemewa Sana kwenye team yakeAmewafungulia milango wachezaji wa kizawa ligi kubwa za Afrika ya kaskazini, vijana waoneshe juhudi tu.
Saa nne usiku.....Al Ahl na Mamelod saa ngapi? Hii si ya kukosa
Game ni live youtube
Hii mechi kuitabiri ni ngumu.Mamelod hachomoki kwa Ahyl!
Unasearch tu kwa mfano 'ahly v mamelody live' then links zinatokeaMkuu hii live yutube unaipataje!?
Ubora wa msuva utabaki kuwa imaraAmewafungulia milango wachezaji wa kizawa ligi kubwa za Afrika ya kaskazini, vijana waoneshe juhudi tu.