Mkiambiwa ungeni mkono kampuni ya kitanzania azam tv mnabwela kwa taarifa yako mechi itakuwa mbashara kupitia chennel ya zbc2 wema unaoendelea kupitia kingamzi cha azam kuanzia saa tatu na nusu uchambuzi na mtanange rasmi ni saa nne kamili usiku. Nunua kifurushi cha 18000 tu upate uondo wa soka na ushuhudie mbumbumbu fc akila 11uko misri.