Mechi ya Al-Merrikh vs Yanga kupigwa Ijumaa 15/09/2023

Mechi ya Al-Merrikh vs Yanga kupigwa Ijumaa 15/09/2023

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
1694684922952.png


Kuna mashabiki watakuwa bado wapo njiani kwenda

 
Ila hao jamaa wana figisu

Mwanzo walisema kiingilio 10K walipoona kuna kampeni za kubeba mashabiki zikionesha mabasi 6 yamejaa wakaongeza bei.

Kutoka kwenye 10K ikawa 20K

Na saizi kulikuwa na tetesi za kuongeza bei zaidi kwenye kiingilio iwe zaidi ya 20K.
 
Ila hao jamaa wana figisu

Mwanzo walisema kiingilio 10K walipoona kuna kampeni za kubeba mashabiki zikionesha mabasi 6 yamejaa wakaongeza bei.

Kutoka kwenye 10K ikawa 20K

Na saizi kulikuwa na tetesi za kuongeza bei zaidi kwenye kiingilio iwe zaidi ya 20K.
Mashabiki wataishia kuangalia mpira hotelini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waarabu hawajiamini kama vp waweke hata leo tumalizane nao waje huku tuna wasubiria. Mpira wa Africa sometimes una mambo ya kijinga,ila uzuri mechi inafanyikia Rwanda kule kuna watanzania kibao, hata wakitangaza laki moja watu wataenda.
 
View attachment 2748859

Kuna mashabiki watakuwa bado wapo njiani kwenda

Mambo mengine hua mnatafta aibu za bure yaani unatumia sofascore kama source , ambayo wanaonyesha El Melek wana cheza jpili na Academica ! kwanini usiende kweye reliable source?
IMG_20230914_132939.jpg
 
Ila hao jamaa wana figisu

Mwanzo walisema kiingilio 10K walipoona kuna kampeni za kubeba mashabiki zikionesha mabasi 6 yamejaa wakaongeza bei.

Kutoka kwenye 10K ikawa 20K

Na saizi kulikuwa na tetesi za kuongeza bei zaidi kwenye kiingilio iwe zaidi ya 20K.
Hizo habari hua mnazitoa wapi? tickets zisha anza kuuzwa zinapanda bei kwa mfumo gani? mimi nipo Kigali au zimepanda bei huko Dar?
 
Back
Top Bottom