Mtapata faida gani toka muanze kuombea Mbabane
Ahl hawezi kufungwa kwao na timu ile. Wakumsindikiza Ahl ni kati ya Simba na Vita. Kwa mchina pataamua
Uhakika wa kushinda njaaIn short Mechi ni half time huko Kinshasa matokeo bila bila...
Wanasimba tuombe tu matokeo yawe hivyo hivyo ama as Vita wafungwe ingawa waarabu wanaonekana kuzidiwa kabisa hapa, wanakaba tu!
Simba kule Algeria uhakika wa ushindi upo ila ndio hivyo adui muombee njaaa...
Kwa picha linavyoonekana, Simba hana budi kushinda mechi yake ya mwsho dhidi ya AS Vita ili ajikatie ticket ya robo fainali..Kimsingi naona mechi imeisha vizuri,mpaka sasa hakuna mwenye tiket ya kuvuka hivyo mechi za mwisho ndio zitamua nani aende. hata kama simba akishindwa leo. saoura wtakuwa na poit 8 na ndio watakongoza kundi. kumbuka mechi ya mwisho simba akishanda atakuea na point 9. hivyo alhaly hatakubali kufungwa nyumbani au drooo maana akifanya hivyo ameaga
Nazani ushinda wa vita leo umetengeneza nafasi ya simba kuvuka